FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

Naona Djuma kapunguza sana uzito ... baada ya kuambiwa ukweli na Zahera
 
Yanga ndombolo ya solo...bendi inatumbuiza kwny kilele cha women leo
 
Ila pale kwenye lile shambulizi walilotaka kufanya Bamako ilikuwa ni foul sema ndio hivyo tukisema nasisi tutakumbushwa ya jana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…