FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

Nasemajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee??? Kama timu yako haina milion 30 za rais Samia kaa[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]
Ni kwa sababu haina shobo na hela za wanawake...wenye shobo na hela za wanawake ndio maana mmepangiwa mechi tarehe ya wanawake
 
Vilevile kumbuka Yanga anangoza kwa point...........(jaza mwenyewe hapo,kama ulijua idadi ya magoli weka na points)
Si ulikuwa unazungumzia magoli wewe, sasa mbona umehamia kwenye point? 🤣 🤣🤣
 
Wakati Simba anaenda Morocco kutalii, Yanga atakuwa bado hajaingia robo fainali. Nakumbushia tu ila enjoy ushindi wenu.

La nyongeza mmecheza mpira mbovu leo 🤣😂🤣
 
A very weak team playing kipofu kaona mwezi at confederation cup
 
Endeleeni kutembeza bakuli hahaaa
Nasemajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee?? Kama timu yako imeshawahi kufungwa na mayeleeeeee kaa[emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850][emoji850]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…