FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

Hilo linakuja akiongelewa Azizi Ki

Ila wewe ukimsema Kibu, unakuwa mtu fulani makini unayeujua mpira

Aisee
Ifike time ubadilike wewe kila siku ni kujadili watu, ulianza na Mayele ukaja Azizi K sasa hivi upo na Musonda kwani huwezi kuongea football bila kukoma na watu , basi mseme mtu mara moja sio uzi mzima unakomaa hizo ni indications una tabia za hivyo hata kwenye real life
 
Mechi inayofuata Yanga inacheza nyumbani dhidi ya Monastir, Yanga akishinda hiyo mechi basi kamaliza kazi hata mechi yake ya mwisho akifungwa magoli 20. Saaa sijui unaposema linaenda hadi mwisho ulikuwa unawaza yapi?
Ndo mpaka ashinde sasa. Na ni game ngumu sanaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…