FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

Waarabu tuna undugu wa damudamu na Yanga, kuanzia abasi gulamali, abasi tarimba hadi gsm wote ni warabu, kwaio Yanga piga hao mbwakoko wa mali goli ambazo raja Casablanca tulimpiga simba
acha uongo marehemu gulamali ni mhindi sio mwarabu
 
ni kweli mayele alizidi ubinafsi
 
Halafu anajikuta anajua kila kitu kumbe hanangwa tu[emoji1]

Sent from my TECNO LB6 using JamiiForums mobile app
 
Hao wote uliowataja, Kocha wako kawasema negative kwa hiyo naye ni hater?
 
Ntawaandalia mpambano maana utani wenu wa jadi umevuka mipaka
Siko kwa ajili ya battle na mtu ila nashangazwa na baadhi ya wadau wanapokuwa huru kumsema mchezaji wa timu nyingine bila kupewa maneno ya kashfa

Halafu na sisi tukiwasema wachezaji wao negative (tena kwa yale ambayo ni ya kweli) wanakasirika na kuanza kutoa maneno mabaya kwa wengine.

Sasa tulichokuwa tunakisema sisi kuhusu low performance ya Azizi Ki na kuitwa hater, kimesemwa na Nabi ambaye ni kocha mkuu...sasa huyo mdau nataka nimuone akijitokeza kumpinga Nabi na kumuita hater vinginevyo yeye ndio hater na juha mwenye mahaba na mchezaji.

Wengine wamejaribu kusema kumtetea Azizi Ki eti kwakua alifunga bao kule Tunis, kwa maana hiyo Nabi anapoonesha kutopendezwa na kiwango cha Azizi Ki hilo hakuliona au wao wana vision kubwa ya mpira kumzidi kocha.


Au hata mashabiki wa Simba hawapaswi kumsema Kibu kwasababu alisababisha tupate goli muhimu kwenye mechi ya Mbeya City.

Ni ujinga tu
 
Monastir hawezi ku relax kwasababu ukiachana na kufuzu, ni lazima ukomae uongoze kundi ili usipangiwe na timu zingine zilizoongoza kwenye makudi yao. Kwasababu droo ya robo fainali itachukua timu zilizoshika nafasi ya kwanza vs timu zilizoshika nsfasi ya pili kwenye kundi. Bado Monastir hajawa na uhakika wa kuongoza kundi hivyo atapambana
 
Hakuna cha ku relax anakuja full mziki, tukimpiga zaidi ya goli mbili anakua wa pili kwenye kundi nani anataka kuwa wa pili?
 
Wewe ni hater unajifichia kwenye ushabiki kipindi kile Mayele hata afanye nini utaongea tu naona Musonda kama ameku prove wrong sasa hivi umekomaa na Azizi K
 
Wewe ni hater unajifichia kwenye ushabiki kipindi kile Mayele hata afanye nini utaongea tu naona Musonda kama ameku prove wrong sasa hivi umekomaa na Azizi K
Na wewe ni snitch, hata Mayele na Azizi Ki wacheze hovyo hujawahi funguka kuwa wako underperformance

Na Kibu sidhani kama hana mazuri yake, ila hujawahi kutoa positive recognition zaidi ya misuto
 
Na wewe ni snitch, hata Mayele na Azizi Ki wacheze hovyo hujawahi funguka kuwa wako underperformance

Na Kibu sidhani kama hana mazuri yake, ila hujawahi kutoa positive recognition zaidi ya misuto
Lini nmetoa negative comments kwa Mchezaji yoyote wa umbumbumbuni?
 
Hawa ni mashabiki mandazi. Wanadhani kukiri madhaifu ya wachezaji wao hata kama ni katika game husika ni kuisaliti timu. Jana Nabi bado kidogo avunje benchi kama siyo vidole vyake kwa hasira.
 
Hawa ni mashabiki mandazi. Wanadhani kukiri madhaifu ya wachezaji wao hata kama ni katika game husika ni kuisaliti timu. Jana Nabi bado kidogo avunje benchi kama siyo vidole vyake kwa hasira.
Hata kwenye 1st leg kule Mali, Nabi alikuwa akimuwakia sana Azizi Ki
 
Hakuna cha ku relax anakuja full mziki, tukimpiga zaidi ya goli mbili anakua wa pili kwenye kundi nani anataka kuwa wa pili?
Sawa lakini game yake ya mwisho anacheza na Bamako tena nyumbani kwa hiyo bado anaweza asikaze sana ingawa bado atakuwa anatafuta ushindi. Haya nendeni mkashinde.
 
Sawa, nendeni mkapambane. Mimi ninachowaomba msifanye vurugu tu mkatishia uwanja wetu kufungwa au kuharibu taswira ya mpira wetu. Mechi kama hizi zinakuwaga na hisia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…