FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

FT: Yanga S.C 2-0 As Real Bamako | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa Stadium | 08.03.2023

Hapa mimi ndio panaponipa mawazoo na ndio maana narudi kufikir kuwa htukupaswa kuruhusu draw na bamako game ilee...Mazembe watatuua hakyanani..tena kwao??? Aahh sina matumain kabisaa
Leo wamemsumbua monasir ila tutawafunga hawana mpira msimu huu.
 
Nasikia golikipa wa Bamaco ni kaka yake na jujui jiara wa Uto hivyo kauza game...
😆 😆
 
Back
Top Bottom