Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Anacheza na viluilui. Vyura kamili wamepumzishwa.Hee, mpaka Muda huu KVZ hajafa.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anacheza na viluilui. Vyura kamili wamepumzishwa.Hee, mpaka Muda huu KVZ hajafa.?
ama wakiwapa tofaut wanapewa kolo koloWatu Wanapewa Zalani zalani tu....!
Wakibadilishiwa basi Jamus au KVZ..
Mwasibu punguza dharau. Ukiulizwa kwenye hicho kikosi cha Yanga kilichoanza leo, kina wachezaji wangapi wa kikosi cha kwanza; sidhani kama utakuwa na majibu.Hii Utopolo wangepewa hata Simba Queens wangeshapigwa
Tunawacheki vijana tu leo.Mwasibu punguza dharau. Ukiulizwa kwenye hicho kikosi cha Yanga kilichoanza leo, kina wachezaji wangapi wa kikosi cha kwanza; sidhani kama utakuwa na majibu.
Mwacheni kocha wetu aangalie na vipaji vingine. Na nyinyi mbaki na Benchika wenu, ambaye anapanga wachezaji wale wale kila mechi. Lengo tu ashinde, na hivyo kuepuka kulaumiwa na mashabiki mbumbumbu.
Kuna kikosi kimoja cha Simba kilipigwa 4-0 na kingine kikapigigwa 5:1 halafu zote ni mechi za msimu huuHii Utopolo wangepewa hata Simba Queens wangeshapigwa
Hata afya zao zinaonesha wana shida katika kupata lishe bora 😂hawa watoto hawana maajabu, bado sana
laisi--raisiKVZ hawajui kama laiSi wetu tapeli kapiga picha na PSG?Hawaogopi hilo?
Mkuu mnataka Gamondi awe serious hadi kwenye vibonanza?Mchezo wa hovyo huu, hebu mie nifanye mambo mengine.
Sisemi kitu mie napita kimya kimya 😁Mchezo wa hovyo huu, hebu mie nifanye mambo mengine.
Duh..! Ila Yanga poleni Sana..Maana kwa jinsi hii mnaonyesha Ukubwa mmeumisi na Mnaulilia Kweli Kweli...!Duh! Kila la heri kwa Wananchi. Naona kikosi kina mabadiliko ya kutosha tu. Nadhani wadogo zetu simba wana cha kujifunza hapa. Siyo kila mechi lazima Kapombe, Onana, Baleke, Ngoma, na Che Malone wacheze..