inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Wataenda shirikisho msimu ujaoUnasemea points za msimamo wa league? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wataenda shirikisho msimu ujaoUnasemea points za msimamo wa league? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ndio mtachobakia nacho lakini mkikaa wenyewe kwa wenyewe kuelezea matatizo yenu sidhani kama "nilimkanda mkono Simba" itakuwa ni facts ya kuwaambia wenzako katika mazungumzo ya kutafuta suluhishoWalikukanda mkono lakini!
Duh timu gani hio leo imetukazia fuvu ???
Nyau nyautunapiga 5 kama kawaida
Nitajie timu ambayo haijawahi kukandwa mkono n simba tanzania. Unaona ajabu mpaka kutengeneza mabango nchi nzimaWalikukanda mkono lakini!
Zimebaki mechi ngapi kwenye ligi hadi waende shirikisho? Aisee jangwani walevi wa gongo mko wengiWataenda shirikisho msimu ujao
Sasa Simba nafasi ya kwanza na pili hawezi pataZimebaki mechi ngapi kwenye ligi hadi waende shirikisho? Aisee jangwani walevi wa gongo mko wengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao walikandwa 6 na Simba ,wakakandwa 5, hiyo 5-1 waliyopata ni sawa na 4-0, hawa majamaa ni futuhiNitajie timu ambayo haijawahi kukandwa mkono n simba tanzania. Unaona ajabu mpaka kutengeneza mabango nchi nzima
Na Hii tabia ya kutuiga bado wanayo...Wao wamemsajili eti kwasababu ya kuwakomoa Simba.
Wanajidai wao ndio magwiji wa sports academic kwa ajili ya kurekebisha maadili ya wachezaji walio shindikana.
Wanarudia makosa yao yaleyale ambayo Simba alifanya na sasa ameamua ku move on na huo ushamba.
Ila kama ilivyo kwa Yanga kila kitu cha maendeleo wao huwa wa mwisho kufanya.
Tulianza sisi kuvaa viatu wao wakiwa bado wanacheza matumbo wazi huku wakipekua bila viatu.
Sisi ndio Idol kwenye maendeleo ya mpira na kuleta mabadiliko chanya so wao wakitaka kufanya jambo wanatuangalia sisi tulifanyaje au tunafanyaje
Imebaki mechi ngapi kwenye ligi??? Mbona unakwepa swali, hiyo nafasi uliyokalia ukikaa vibaya mda wowote tunakutoaSasa Simba nafasi ya kwanza na pili hawezi pata
Kwa ubora wa yanga na Azam Simba hawezi penya,ni kama useme geita watapata ubingwa au kuwa wa pili kisa Kuna game 18 zimebakiImebaki mechi ngapi kwenye ligi??? Mbona unakwepa swali, hiyo nafasi uliyokalia ukikaa vibaya mda wowote tunakutoa
Sent using Jamii Forums mobile app
Unachekesha sana.Simuamini amini sana huyu jamaa hivi kuna scenario yeyote ya faulo aliyochezewa kichwani?
Maana wasiwasi wangu upo kwenye lile box la maoni alimoifadhiwa siku ya utambulisho nahisi ndio lililoleta damage kwenye kichwa..
Inawezekana kwasababu ya haraka haraka ya kumtambulisha mchezaji pengine fundi furniture umakini ukawa mdogo kwenye swala zima la upigaji wa misumari.
Inaweza ikawa ile misumari fundi alivyoipiga kwenye kuunganisha lile box kuingia ndani, hakuipinda kwa chini kuondoa zile sharp, so Okrah alivyoingia kwenye ile Sinagogi huwenda ikamchoma kichwani.
View attachment 2862068
Daah sikujua pole yakeUnachekesha sana.
Mshikaji aligongwa kwenye kichwa