Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Umeona kikosi?Kila la kheri wananchi ππππππ
Akisare tu Yanga nitajiskia vibaya sana yani roho itaniuma mno.
Akishindwa ndio kabisaaaa yani nitapagawa.
Akifungwa nitasahau kama jana namimi nilicheza.
Mhβ¦!!!Kikosi cha Yanga kinachoanzaView attachment 2949331
Mimi kama mtanzania mashabiki wa Rege tena ile ya Lucky Dube lazima nitumie hii fursa kama tribute kwa rastaHabib Habib thalanta bin thiful kosi la dunia SHALULILE HAT TRICK
View attachment 2949334
Uzimie kwa kipii? Hebu relaaaaxxxx.Daaaah... Leo siangalii hii mechi nitazimia bure
Mtihani SanaUmeona kikosi?
Aucho na Pacome hawapo
Hapo unazungumzia engine ya Yanga
Mnawakweza tu hawa ni wa kawaida sana.Kikosi cha Mamelodi kinachoanza View attachment 2949329
Punguza preshaa, ushindi uko kwenuu mbona.Dah hiki kikosi Hamna kitu aisee
jikaze mechi yenyewe Robo fainaili unaogopa nin au ushafahamu wa South wanakushona vibayaDaaaah... Leo siangalii hii mechi nitazimia bure
Maumivu makubwa, goli la kwanza linapotia kwa JobKwa kikosi hiki cha Gamond tuhesabu maumivu tu.
Mfungwe tu, tuwe sawaMtihani Sana
Acha woga wewe. Game tunashinda hili.Kwa kikosi hiki cha Gamond tuhesabu maumivu tu.
Tusubiri dk 90 zitaamua. ππππMfungwe tu, tuwe sawa
Tuamishe mjadala tuanze kuchekana idadi ya magoli
Leo labda maxi na azizi k wafanye miujiza aisee maana bila pacome na aucho naona tuta struggle sanaPunguza preshaa, ushindi uko kwenuu mbona.
Hapo nilikusudia kuandika "kushinda"Kushindwa na kufungwa kunatofauti gani?