United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Nyuma mwiko kila siku huwa mnajitapa mnakikosi kikubwa na Timu ya Ushindani iweje leo mnaogopa mapema iviKwa kikosi hiki cha Gamond tuhesabu maumivu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyuma mwiko kila siku huwa mnajitapa mnakikosi kikubwa na Timu ya Ushindani iweje leo mnaogopa mapema iviKwa kikosi hiki cha Gamond tuhesabu maumivu tu.
Ni wakati sasa wa kuvaa jezi yangu ya Simba na kuelekea banda umiza la Emirates
Washafahamu nyiny ni mapopomaNingekua na uwezo ningetoa hivi vyeo vya usemaji wa club, yaani haya majinga hayapo professional kabisa
Juzi tu ally kamwe alikua anasema mara Yao ndo kampokea pacome airport, mara aucho yupo fit... Sasa sijui wanatoaga habari za nini
No way out. Kocha hawezi kulaumiwa kwa kuanza na kikosi hiki. Maana Aucho na Pacome ni majeruhi.Kikosi cha Yanga kinachoanzaView attachment 2949331
Tena apigwe kama jibwa kokoYanga apigwe tu
Hahahahaaaa. Ndio ndio Mtani. 😅😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeee!!!
Yaan a take asitakee, maseko anaku zoom mtani.
Wala, kikosi kipana tunacho, ondoa shaka kabisaaLeo labda maxi na azizi k wafanye miujiza aisee maana bila pacome na aucho naona tuta struggle sana
Nawatakia kipigo kizito sana UTO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona mapema sana jamani, kulikoni?Ningekua na uwezo ningetoa hivi vyeo vya usemaji wa club, yaani haya majinga hayapo professional kabisa
Juzi tu ally kamwe alikua anasema mara Yao ndo kampokea pacome airport, mara aucho yupo fit... Sasa sijui wanatoaga habari za nini
Vijana mna papara na hofu sana. Mbona hiko kikosi kipo sawa tu, binafsi naamini Yanga watapata ushindi.No way out. Kocha hawezi kulaumiwa kwa kuanza na kikosi hiki. Maana Aucho na Pacome ni majeruhi.