Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Kama unajuwa Mpira mpe heshima yake Mkude.Mkude ndio replacement ya Aucho
Leo tutasikia mengi sana.
Baada ya game nitajifunza maneno mapya ya mtu aliyekata tamaa
Uzalendo jamaniUbuntu Botho
Ila kwenye hiki kikosi cha leo siwezi kumlaumu kocha. Maana hakuwa na namna nyingine. Pacome, Kwasi na Aucho bado hawajapona kwa 100%.Daaahh!!. Nilikua na was was ila kwasasa was was umezid.. yan naona waz kabisaaaa uwanja ushainama kwa kikosi hiki. Nishayakumbuka maneno ya Tate Mkuu kuwa hamuamin kabisa Gamondi
Sisi tuliomuacha unadhani hiyo mipira yake mirefu hatukuiona?Ni mara 100 anacheza Mkude hiyo namba kwa sababu ni mzoefu na ni mpigaji mzuri wa pasi ndefu za counter attack. Ila angeanza Sure Boy kwenye hiyo namba kama alivyochezeshwa kwenye mechi na Azam, aisee hata mimi ningeingiwa na hofu.
At least kikosi kimejaa wachezaji wenye experience ya kutosha.
Hii NI game inahitaji experience, nawahakikishia Mkude Leo anakwenda kuwafunga mdomo wote mnaombeza, na yeye binafsi anajuwa msalaba alioubeba.Badala ya Mkude angecheza Mauya au Sure Boy
Yanga inacheza na Mamelod kipindi kibaya sana dahHapo nilikusudia kuandika "kushinda"
Sema na mimi makeke mengi
Ye mwenyewe anaona anatumiwa kama ndom tu na yule ni muhuni lazima afakishe kama paybackTukishinda nakurudia,wakati nungu nungu anatoa assist Kama modric,
aisee, why not sureboyTumekwishaa ephen_ , hayupo pacome????? Mkude humo anatafuta nini?
Yanga ni Yanga relaxYanga inacheza na Mamelod kipindi kibaya sana dah
Mtakaoumia NI nyinyi Kwa ball atakalotandaza mtaanza kutafuta mchawi aliyemwacha.Mlikuwa wapi kumpa recognition hii kwenye mechi zote?
Mnasubiri mpaka mchezaji wa hiyo namba apate pancha ndio mumtumie kama kilaka?
Payments is here here (malipo ni hapa hapa)
Hayupo ndioRole model wa Chama leo simuoni hadi benchi??
Ile mind game kumbe ilikuwa ina usiriasi kimtindo?
Yuko subaisee, why not sureboy
We ata ujaingia uwanjani ushaaza kulilia mara ohoo kikosi mara Aucho Mara pacome Ngoja ubondwe apaaa ndio utajua ujuiHaa unaji fariji, wenyewe mmepewa moyo na Ahmed mtapindua meza Misri, kule kuna majamvi wewe jiandae kukunjwa.
sawa mkuuMnawakweza tu hawa ni wa kawaida sana.
natamani angeanzaYuko sub
Kaka nishafika hapa ila walichokifanya uongozi wa Yanga SC Leo sio sahihi Kabisa roho imeniuma sanaChukua Boda Nenda liquid Uhasibu ucheki mechi acha kushangaa