GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Tulia ukandwe ya jana yameishadakika kama hizi jana mtu kasha pewa pepsi big
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia ukandwe ya jana yameishadakika kama hizi jana mtu kasha pewa pepsi big
Tulia ukandwe na ukandikeAcha umama binti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Haa unaji fariji, wenyewe mmepewa moyo na Ahmed mtapindua meza Misri, kule kuna majamvi wewe jiandae kukunjwa.
utasubiri sana hilo, ila ukweli haitawezekanaTulia ukandwe ya jana yameisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee babu, hebu tulizanaa, mbona ushindi uko kwenu.Kwa kikosi hiki Yanga leo tunapigwa tatu kavu dah! [emoji2099][emoji2099][emoji2099]
Maneno kama haya mwaka jana sikukununulia sikukuu, unarudia tena sio eeh?Lolote liwakute asee
Mungu ibariki Mamelodi
kabisa mkuu na akapigwaJana Simba walicheza vizuri kuliko huu upuuzi wanacheza uto saizi 😆😆
Walau tumefurahia boli Sasa nyie mtapigwa na mchezo wa hovyokabisa mkuu na akapigwa
sasa sijui huo uzuri umemsaidia nini
Ya jana yasha pita mli kandwa tulieni apo [emoji81][emoji81]Jana Simba walicheza vizuri kuliko huu upuuzi wanacheza uto saizi [emoji38][emoji38]
Ndo u relaaaxxxx sasa, mbona muhemkoo hivyooo?Sasa mimi na ww nani anatakiwa kurelax wenzenu jana wametoa machozi uwanjani.
Kimeshakua kijambaka cha sauzi ona kilivonyoa🤠!mtoto katoka Chile kaja kucheza ball Africa