Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna udugu vyura leo wapo kwenye bwawa lao wanaruka wanavyotaka 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulizana uduguuu. Heka heka ya nn??
Walikaidi wakapigwa 2Wale wengine jana mida kama hii walikua kwenye vilio
SingeliKwa hiyo mnacheza nini humo Uwanjani?
Yanga soon wanapata baoNawaona wajinga. Huwezi dharau mpinzani kwa kiwango hichi na upo ugenini. Yanga wakiacha uoga watapata goli.
Leta takwimu tuoneMasandawana wanakimbiza gongowazi kama vile wako kwa madiba
hahahahaa mechi ya upande mmojaHakuna ufundi wanaruka ruka tu Bora hata mechi ya jana
Daima mbele [emoji106][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Liwakute nyuma mwiko[emoji23][emoji23][emoji23]
Mafanikio sio timu yenu ileMbona kujitetea kwingii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23] muda badoo bhana.wakawaida au wew ndio unashindwa kujua plan yao Ni nin
Ni mbinu yetu ya mchezo. Tunawaacha wacheze kwetu sisi tutaenda kufunguka kwao.Mamelodi ndio yupo nyumbani aisee...bora simba jana mpira wameucheza na mashambulizi mengi wamefanya...Yanga ni tia maji tia maji