ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Una angalia mechi gani?Mamelodi ndio yupo nyumbani aisee...bora simba jana mpira wameucheza na mashambulizi mengi wamefanya...Yanga ni tia maji tia maji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una angalia mechi gani?Mamelodi ndio yupo nyumbani aisee...bora simba jana mpira wameucheza na mashambulizi mengi wamefanya...Yanga ni tia maji tia maji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena wanaogelea kwa weledii haswaa.Hamna udugu vyura leo wapo kwenye bwawa lao wanaruka wanavyotaka [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe nyinyi hamtaki kushinda leo?
😊😊😊😊Daima mbele [emoji106][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mamelodi hawajaja kupaki basi kama Al Ahyl.Mamelodi ndio yupo nyumbani aisee...bora simba jana mpira wameucheza na mashambulizi mengi wamefanya...Yanga ni tia maji tia maji
Kuna vitu huwa vinachekesha sana.Ni mbinu yetu ya mchezo. Tunawaacha wacheze kwetu sisi tutaenda kufunguka kwao.
Kumradhi mpira bado 😀😀Hii style ya passing Ya Mamelod imenishangaza kidogo, mpira unapigwa kwa nguvu hata kama wachezaji wapo karibu karibu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajitetea vipi weyeee? Tulizanaa bhana we.Mafanikio sio timu yenu ile
Na wanapenda kucheza sana mpira kwenye eneo lao lengo lao yanga waje kukaba wengi ili wacheze quick counter attack ila Yanga wajanja wameshutukia mtegeo wao wanapenda kukabia kuazia katikati ya kiwanjaHii style ya passing Ya Mamelod imenishangaza kidogo, mpira unapigwa kwa nguvu hata kama wachezaji wapo karibu karibu.
We ni kiazi nini huangalii mechi?Leta takwimu tuone
Ushindi wetu 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena wanaogelea kwa weledii haswaa.
Sasa hadi sasa Kuna lipi la maana wamefanya?sawa mkuu
Uko unaniita kumradhi juu ya nini? Me sio kumradhi wako[emoji16]Kumradhi mpira bado [emoji3][emoji3]