asa hawamin kitu kutowafunga Goli had mda huu au hawamin kitu GaniMasandawana hawaamini
Uduguuu em tuliaa bhanaa, [emoji23][emoji23][emoji23]Hapo unatamani vyura wafungwe [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzizee huyu naye boya tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ngafu fijo gweeeeeeeeeee
Matokeo yake yataonekana muda sio mrefu.Yanga wameona kubaki nyuma ujinga. Wanacheza sasa.
Uchafu ulipigwa jana mzee baba, muda kama huu tunakula tende tuAcha kulinganisha city na uchafu huuu
ahhahhahhahahhhhahahhaMwakarobo kabana mbupu kichaka cha robo kisi fyekwe. Kama.kuke cha19 century [emoji81]
Ndyoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Au sio
anatakiwa na Spurs huyo sio kama mbuzi wenu huyo kadaka Africon lakin hakuna hata timu ya Sweden inamtakaWilliams ni kipaa jamaniiiii, uwiiiiiih
Na mabekii wanao, shida hapo mbeleee shalulile na alliende wanachelewesha jamboo. Aaah
Anazingua kinoma yanima
maghimbi ya futari
sasa apaki basi kwa timu dhaifu si atakuwa mshambaMamelodi hawajaja kupaki basi kama Al Ahyl.
Shindwaaa hawana mupya, wanafungika subiri na uoneMamelodi wameanza kushambulia Sasa ngoja muoge mvua ya magoli 😁😁
Mpaka sasa Yanga washabadirika, ni kama wanajaribu kumtafuta goli.Huyo atahamasisha wachezaji wengine kupanda juu akianza mbio zake, kitu ambacho Gamond hana muda nacho kabisa leo.
Labda dakika za mwisho.
kwahyo ukimungalia mwamnyeto unahisi kama Ruben dias ivi kweli Nyuma mwiko mnashida sanaUchafu ulipigwa jana mzee baba, muda kama huu tunakula tende tu