FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Mwakarobo kabana mbupu kichaka cha robo kisi fyekwe. Kama.kile cha 19 century [emoji81]
 
Mzize na msoda sio striker wa timu kubwa kama Yanga tena kikosi A .
 
Huyo atahamasisha wachezaji wengine kupanda juu akianza mbio zake, kitu ambacho Gamond hana muda nacho kabisa leo.

Labda dakika za mwisho.
Mpaka sasa Yanga washabadirika, ni kama wanajaribu kumtafuta goli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…