Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Mliwajaza sana mamelodi hawana lolote 🤣🤣🤣Uduguuu em tuliaa bhanaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliwajaza sana mamelodi hawana lolote 🤣🤣🤣Uduguuu em tuliaa bhanaa, [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii watuu, uwiiiiihanatakiwa na Spurs huyo sio kama mbuzi wenu huyo kadaka Africon lakin hakuna hata timu ya Sweden inamtaka
TawileLzm yanga iondokee na goli moja
Yanga nao wamefunguka. Angalau sasa mpira unavutia.Mamelodi wameanza kushambulia Sasa ngoja muoge mvua ya magoli 😁😁
Hapa kitu cha muhimu kutokuingia kwenye mfumo waoYanga isifunguke
Ibane ivi ivi
Iwe inawaotea
Otherwise jamaa wnaaonana sna
Hawa kenge vyuta lazima waachie tu. Acha wabaaaaaneWilliams ni kipaa jamaniiiii, uwiiiiiih
Na mabekii wanao, shida hapo mbeleee shalulile na alliende wanachelewesha jamboo. Aaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu em tulia bhanaa, mbona una kiraru sana? Kwemaa?Mliwajaza sana mamelodi hawana lolote [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama Dakika 20 zilizopita Walikuwa wameingia kwenye Mfumo wa masandawana naona wameshtukaHapa kitu cha muhimu kutokuingia kwenye mfumo wao
Dogo tulia angalia wanaume wanacheza bolikwahyo ukimungalia mwamnyeto unahisi kama Ruben dias ivi kweli Nyuma mwiko mnashida sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sidhanii.Hawa kenge vyuta lazima waachie tu. Acha wabaaaaane
Wanacheza mpira mzuriKwanin mkuu
Kwema umewaona wanaume wanavyocheza mpira sio kina kibu wenu jana hawaeleweki 😂😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu em tulia bhanaa, mbona una kiraru sana? Kwemaa?
walio wekeza pia hapa wanahangaikaNDUGU ZANGU
MPILA NI UWEKEZAJI
BADO TUNA SAFARI NDEFU.