Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Nipo JF tu. TANESCO wanakatwaTaja sehemu unayo tazamia mpira huu
Mm Niko kijini kbsaa ndani ndani banda umiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo JF tu. TANESCO wanakatwaTaja sehemu unayo tazamia mpira huu
Mm Niko kijini kbsaa ndani ndani banda umiza
Hakuna kitu ,na Yanga wanafungwa Kwa game inavyoendaYanga nao wamefunguka. Angalau sasa mpira unavutia.
Ni kweli...Hawa kenge vyuta lazima waachie tu. Acha wabaaaaane
kijana katunyima goliBonge la pochi Mzize daah...
Yanga Wakipata sare mechi hii washangilie maana hawawezi kushindaShindwaaa hawana mupya, wanafungika subiri na uone
Mzize sio striker wa kumtegemea, yanga mnahitaji striker anaeweza kufanya maamuzi akiwa mwenyewe design ya kina mayelekijana katunyima goli
wanachezea hirizi. watoto wanalala makaburini wacheze mpira. vipaji toboTobaaaaaaaaah!!! Anakosajeee pale mzinzeee? Woiiiiiih