FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Williams ni kipaa jamaniiiii, uwiiiiiih
Na mabekii wanao, shida hapo mbeleee shalulile na alliende wanachelewesha jamboo. Aaah
Hawa kenge vyuta lazima waachie tu. Acha wabaaaaane
 
Taja sehemu unayo tazamia mpira huu

Mm Niko kijini kbsaa ndani ndani banda umiza
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] udugu em tulia bhanaa, mbona una kiraru sana? Kwemaa?
Kwema umewaona wanaume wanavyocheza mpira sio kina kibu wenu jana hawaeleweki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…