FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Hawa manelod tuliwaogopa bure,pasi zaoo hazina madhara na wanapoteza hovyo pasi
 
ila wachezaji wa mchangani bwana ukute apo ata mechi tu za umiseta hujawah cheza saizi unajifanya eti ungefunga Goli kwenye mechi kubwa kama hii mzee hii sio Ndondo wala Cha Ndimu hii ni CAF champions leauge
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…