dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Amapiano hkn maajabuMechi bora iishe kwa yanga kupata clean sheet hata ikiwa 0 - 0 sawa tu. Mechi ikaanze upya kule South Africa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amapiano hkn maajabuMechi bora iishe kwa yanga kupata clean sheet hata ikiwa 0 - 0 sawa tu. Mechi ikaanze upya kule South Africa
Sawa inawezekanaAziz ki alikua ameshachoka lazima alikua atoke tu
Mpira hauna maajabuGuede atafanya maajabu subir uwone mkuu
Mamelodi ukiwapiga counter unawafungaKwanini Diara hupoteza mpira?
Akidaka anabutua mbali kuelekea lango la mpinzani, huu ni ujinga badala ya kuwa pasia wachezaji
Sana yaniDiarra ni kipa na nusu.
hata 1st eleven huwa hayupo bora zwane huyo hana maajabuMaseko umemuona hapo?
Kudeffend kunaruhusiwa ila sio wachezaji wote hao wanatakiwa kudeffend kunahaja gani ya Mabeki sana kama mpaka Straika, Midfieldee mpaka Beki wana deffend 🤣🤣Kudefend ndio kupack? Wewe Dr. gani wewe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] maseko ni basha wangu, tena hapo leo ndo kitawaka pale hotelini? Relaaaaaxxx mapaziaaa.Maseko atakuseko kinyeroo shauri yako mapazia[emoji1][emoji1]
Hana maajabu? Hebu sema kwelii?hata 1st eleven huwa hayupo bora zwane huyo hana maajabu
ila wachezaji wa mchangani bwana ukute apo ata mechi tu za umiseta hujawah cheza saizi unajifanya eti ungefunga Goli kwenye mechi kubwa kama hii mzee hii sio Ndondo wala Cha Ndimu hii ni CAF champions leaugeNina uhakika mimi hapa ningepata kucheza namba ta mzize ningekuwa nimefunga magoli mawili mpaka sasa, mzize kama foward kuna vitu kiufundi anavikosa
Mfano mwanzoni alipata mpira upande wa kulia akiwa sambamba na mabeki wawili akapiga mpira kipa akadaka, mimi naona alimalizia tu moove ilimradi lakini kiufundi angeingia upande wa kushoto alipo beki ili wagongane ajiangushe apate penati, au angemlazimisha yule beki amkwepe kuepusha penati hivyo angepata angle nzuri ya kupiga shuti kwa mguu wa kushoto kwakuwa anakuwa katikati ya goli.
Haya kuna goli la kuchop hapo ye kapiga chini wakati kipa ameshasogea mbele kacha goli.
Sio wazuri hao jamaa ni hatari.kocha badala ya kushambulia yeye kaja na mfumo wa ku defense daaah😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuna timu hapahapa dsm ilifungwa dakika ya tatu maskini