Udugu mbona una presha sana leo kuliko jana mlivyocheza na waarabu π€£π€£π€£Amekosaaaaaaa!!!
Vyura wanashangilia sare Tena nyumbani
UhakikaTutapindua meza Cairo
Simba wanashangilia nini nyumbaniVyura wanashangilia sare Tena nyumbani
asa unachoshangilia nin wakati safari imeiva hiyoWe ulishangilia nn jana [emoji16]
Huyu ni kama hajui matokeo anadhani Yanga imeshindaSisi ndio Yanga
ππππππ
Vituko kama hivi nikihitaji navipataje? π€£π€£π€£Hawa wajinga tunaenda kuwamaliza kwao
mara ya kwanza ilisemwa watatuchaza ila holaaa hawa tunaenda toa draw ya,1-1 wanatokaDefensively Yanga wako vizuri sana, ila second leg hali itakuwa ngumu zaidi kwao.
Bonyeza mojaVituko kama hivi nikihitaji navipataje? π€£π€£π€£