FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

FT: Yanga SC 0-0 Mamelodi Sundowns | CAF CL | Mkapa Stadium | 30/03/2023

Baada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.

So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.

Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
Mpira umekosa radha Hadi na wewe kibibi kizee nae unachambua mpira?
 
Kwani simu zilikosa bando hadi zishindwe kupigwa?
IMG-20240330-WA0008.jpg
 
Baada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.

So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.

Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
We ni Newcomer bila uniform ?? [emoji81]Al ahly wa nyumbani aka tolewe na simba hii
 
Match Day 1st Leg.
Robo fainali

Yanga vs Mamelodi

Muda ni Saa 3 Usiku.

Kuwa hapa nami kwa update za kabla na wakati wa mchezo

View attachment 2949337
Kikosi cha Yanga

View attachment 2949372
Kikosi cha Mamelodi Sundowns

Mchezo umeanza
10' Mchezo bado una Kasi ndogo, timu zinasomana
20' Wageni wanamiliki mpira muda mwingi lakini Yanga wanafanya mashambulizi ya kushtukiza
27' Yanga wanafanya shambulizi Kali, shuti la Musonda linadakwa
30' Mchezo unaendelea kwa ushindani mkali
31' Shambulizi lingine langoni kwa Mamelodi lakini kipa anaudaka mpira.
32' Mapumziko ya dakika moja
42' Mamelodi wanapiga shuti la kwanza golini
45' Zinaongezwa dakika 3

MAPUMZIKO

Kipindi cha pili kimeanza
50' Mchezo umeanza kuchangamka, timu zote zinafunguka
55' Yanga wamefanya mashambulizi mawili makali lakini yote walikuwa wameotea
61' Kipa wa Yanga, Diarra anafanya kazi nzuri ya kuokoa mpira wa krosi uliokuwa na hatari
62' Timu zote zinapeana zamu kumiliki mpira
75’ Shambulizi kali langoni kwa Yanga lakini mpira unaondolewa
77’ Dakika moja ya mapumziko kwa timu zote
83’ Yanga wanaongeza presha ya kutafuta goli
87' Kasi ya mchezo imeongezeka
90' Zinaongezwa dakika 5

FULL TIME
sikutegemea nilijua tutafungwa
 
Baada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.

So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.

Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
Yaani nyie mmecheza na timu ambayo wachezaji wake wawili majeruhi key player umepigwaa, sasa subiri Dieng arudi uone utakavyo pasuka vizuri,Misri unazani watacheza kama walivyo cheza jana.
 
We ni Newcomer bila uniform ?? [emoji81]Al ahly wa nyumbani aka tolewe na simba hii
Kumbuka Simba atacheza kama alivyocheza hana Cha kupoteza Kwa sababu lazima atafute goli so pressure iko.kwa Al Ahly sio Simba.

Ila.kwa Yanga ,wakicheza walivyocheza hivi na lazima wacheze hivi Kwa sababu wamezidiwa sana na Memelod ,kitu Cha maana wanaweza kufanya ni kwenda kupunguza magoli ya kufungwa.
 
Back
Top Bottom