Mpira umekosa radha Hadi na wewe kibibi kizee nae unachambua mpira?Baada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.
So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.
Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
Yanga alifungwa na USM A taifa akaenda kushinda AlgeriaSasa ndo tutaona jinsi wenzetu wanajua kutumia home kwao.Tusijipe moyo kuwa et tutaenda kufanya kitu huko BIG NO,si Simba wala Yanga zote ni kipigo tu huko waendako
Kwani simu zilikosa bando hadi zishindwe kupigwa?
We ni Newcomer bila uniform ?? [emoji81]Al ahly wa nyumbani aka tolewe na simba hiiBaada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.
So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.
Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
hafai yule kijanaMnata ata akicheza na ihefu roho juu juu .
Hahah bodabodah wao alikwenda kupata kitambulisho Cha mamahKumbe leo yale majini yenu hayakuwepo?
Au mmecheza 9 uwanjani?
sikutegemea nilijua tutafungwaMatch Day 1st Leg.
Robo fainali
Yanga vs Mamelodi
Muda ni Saa 3 Usiku.
Kuwa hapa nami kwa update za kabla na wakati wa mchezo
Mchezo umeanza
10' Mchezo bado una Kasi ndogo, timu zinasomana
20' Wageni wanamiliki mpira muda mwingi lakini Yanga wanafanya mashambulizi ya kushtukiza
27' Yanga wanafanya shambulizi Kali, shuti la Musonda linadakwa
30' Mchezo unaendelea kwa ushindani mkali
31' Shambulizi lingine langoni kwa Mamelodi lakini kipa anaudaka mpira.
32' Mapumziko ya dakika moja
42' Mamelodi wanapiga shuti la kwanza golini
45' Zinaongezwa dakika 3
MAPUMZIKO
Kipindi cha pili kimeanza
50' Mchezo umeanza kuchangamka, timu zote zinafunguka
55' Yanga wamefanya mashambulizi mawili makali lakini yote walikuwa wameotea
61' Kipa wa Yanga, Diarra anafanya kazi nzuri ya kuokoa mpira wa krosi uliokuwa na hatari
62' Timu zote zinapeana zamu kumiliki mpira
75’ Shambulizi kali langoni kwa Yanga lakini mpira unaondolewa
77’ Dakika moja ya mapumziko kwa timu zote
83’ Yanga wanaongeza presha ya kutafuta goli
87' Kasi ya mchezo imeongezeka
90' Zinaongezwa dakika 5
FULL TIME
asa unachoshangilia nin wakati safari imeiva hiyo
Kiukweli mmejitahidi sanasikutegemea nilijua tutafungwa
Kiufupi simba hii ni sawa na ile Yanga ya Mwinyi ZaheraYanga ya maana sana, sio kile kikundi cha jana kilichopigwa goli la pre mature, dakika 5 mpira umeisha
🤣🤣Mwanamke mjingahh jfKwa madiba tunaenda kuwachinja ila mechi ilikuwa tamu, Yanga kaonyesha uanaume sio unafungwa kwenu km simba wa Dar zoo 🤣🤣🤣🤣
Subir uoneVituko kama hivi nikihitaji navipataje? 🤣🤣🤣
Yaani nyie mmecheza na timu ambayo wachezaji wake wawili majeruhi key player umepigwaa, sasa subiri Dieng arudi uone utakavyo pasuka vizuri,Misri unazani watacheza kama walivyo cheza jana.Baada ya mechi zote 2 za Simba na Yanga , conclusion yangu ni kwamba Simba ameonesha uhai zaidi licha ya matokeo yake.
So Simba akicheza compact kama alivyojana Jana anaweza shinda mechi ya Al Ahly.
Ila Kwa upande wa Yanga ,safari Yao imeishia hapa ,kule wataenda kupunguza idadi ya magoli tuu.
Kumbuka Simba atacheza kama alivyocheza hana Cha kupoteza Kwa sababu lazima atafute goli so pressure iko.kwa Al Ahly sio Simba.We ni Newcomer bila uniform ?? [emoji81]Al ahly wa nyumbani aka tolewe na simba hii