United ya Ferguson
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 3,132
- 6,353
Mzee wa kulinganisha City ya Pep na Yanga ya Mwamnyeto wew utakua na Shida kwenye kichwa yako kwahyo ukimungalia mzize unahisi kama Haaland iviWiki nzima ulikua unapiga kelele na hawa watu wako, leo umewakalia kimya ka sio wewe..... Yanga ni lidude likubwa sana
Kikundi chenu jana kilipiga??? Mkaamua kutulisha daku saa tatu na dakika tano hata hatujacheua futari🤣🤣🤣🤣🤣Hebu niambie kwa nini simu hazijapigwa pale kwa Mkapa
Na wewe kutokupiga simu kumesababishwa na nini?Wewe jana possesion ilikusaidia nini
Posession does not matter, it all depends on where the ball is possed. 90% possession in your own quarter does not help you. Look at the shots and shots on target numbersBall possession
YANGA 8%
MAMELOD 92%
Chawa wa mama huyo. Hakuna CCM mwenye akili huku Duniani.Sijui kwanini huna akili
Hapo sasaNashindwa kuwaelewa ujue, kwani nyi si ndio mliosema Mamelod hana nyumbani wala ugenini?
Husitaraijie chochote, jana wachezaji watatu key player walikuwa nje majeruhi na wamepigwa.Sasa wakirudi halafu wafunguke hovyo hivyo tena ugenini na timu yenye Al Ahly halafu kwao ,huwatakii mema wenzio.This time natarajia nione mechi tofauti akicheza na Simba Cairo.
Huna akili niulize kwann,Ball possession
YANGA 8%
MAMELOD 92%
Sare ya Leo ndio ushindi wa Yanga , South anaenda kubeba gunia la magoli 😁😁Watu wengine mkae jikoni mmenye nyanya na vitunguu mpira sio fani yenu
Leo mnaongelea possession ambayo Yanga aliifanya kwenye hatua ya makundi dhidi ya Usm Algers akafungwa 3 mkaponda😅😅. Nyie ni viazii.... Man city alimiki 65 dhidi ya Chelsea UEFA na akakojolewa.Ball possession
YANGA 8%
MAMELOD 92%
Hata nyama robo haifungwi haraka hivyoNa wewe kutokupiga simu kumesababishwa na nini?
Mudaday imezimika kama kibatari sivyo?Kikundi chenu jana kilipiga??? Mkaamua kutulisha daku saa tatu na dakika tano hata hatujacheua futari🤣🤣🤣🤣🤣
Yamekera sanaMasandawana ya nyoko
au sioHongereni kwa uto kushinda draw
Mudaday itaendelea kesho bila shaka mtapiga simu 😂😂😂Hata nyama robo haifungwi haraka hivyo
Fungua Uzi wa live update mpaka ufufuko ukamilikeTunangoja ufufuko huku huku kibanda umiza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahah bodabodah wao alikwenda kupata kitambulisho Cha mamah
Na azizah alikuwa anaharishaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hafai yule kijana
tangu atuchome zile 3 simtaki
الاهلي يتمنى لكم ليلة سعيدةMzee wa kulinganisha City ya Pep na Yanga ya Mwamnyeto wew utakua na Shida kwenye kichwa yako kwahyo ukimungalia mzize unahisi kama Haaland ivi