ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Wewe mambo ya mpira usha jitoa vp tenaMpira wa Midomoni Majukwaani na Hamasa.
UWANJANI 0
LEO TAIFA LINAENDA KUWBIKA TENA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe mambo ya mpira usha jitoa vp tenaMpira wa Midomoni Majukwaani na Hamasa.
UWANJANI 0
LEO TAIFA LINAENDA KUWBIKA TENA
Halafu shetani awe na Mamelodi!Kila la kheri wananchi, Mungu awe pamoja nasi.
Mpaka msemeUtakuwa msimu mbaya sana kwetu mashabiki wa Simba iwapo Yanga itavuka nusu na Simba kuishia tena robo. Nikiri tu kuwa, tutakuwa tumepanga nyumba iliyopo dimbwini msimu wa mvua. Ni kroooo kroooo.
Kaburini hakuna adhabu,halijathibiti Hilo kwenye Quran,pakiwa na adhabu kaburini siku ya hukumu inakua Haina maana,watu wangefufuliwa na kutiwa tu motoni na peponiKuna adhabu kali za kaburi
Kinawatosha sana masandawanahii ndo line up [emoji23][emoji23][emoji23] it's over before it's over.
nijiwekee mkeka
View attachment 2949266
Mkivuka hapa na sisi kuishia hapa tutakuwa tumeshasema, binafsi sitakuwa na la kusema tena zaidi ya hongera vyura.Mpaka mseme
Hahaaaa ni kweli bwana. TANESCO wakate umeme tu sasa.
Ni hadithi za mtume mkuu.🙌🙌Kaburini hakuna adhabu,halijathibiti Hilo kwenye Quran,pakiwa na adhabu kaburini siku ya hukumu inakua Haina maana,watu wangefufuliwa na kutiwa tu motoni na peponi
Ficha hii wasione🤣
Rangi pendwa za wanaCcm[emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji172][emoji172][emoji172]
Jadi waachie wamasaiWananchi jadi yetu ni ushindi
Mbona kujitetea kwingii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila la heri timu yetu ya wananchi.
Mpaka sasa tupo juu ya malengo kwenye CAF CL na haya ni mafanikio kuelekea mechi ya leo.
[emoji172] Kufuzu kucheza hatua ya makundi(lengo kuu)
[emoji169]kutinga hatua ya robo fainali
Hatuna cha kupoteza mpaka sasa tupo ndani ya malengo yaliyotimizika 100%
[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]YANGA FOREVER[emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
Relaaaxxxxx!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sisi tuna watuView attachment 2948872