zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
hahahahahahahaSometimes hata dakika 10 tu zinaamua
Jana sisi dakika 4 ndio ziliamua, dakika 86 zilikuwa ni kujichosha tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahahaSometimes hata dakika 10 tu zinaamua
Jana sisi dakika 4 ndio ziliamua, dakika 86 zilikuwa ni kujichosha tu
Mlikuwa wapi kumpa recognition hii kwenye mechi zote?Leo ndio siku ya Mkude kurudisha heshima yake na kuonesha yeye ni mkongwe wa michango hii, uzuri Mamelodi hawakuwa na hesabu naye.
Hiki kikosi kinakwenda kuwaduwaza wanaoishi Kwa mazoea.
Narudia tena, Mkude Leo anakwenda kurudisha heshima yake.
Hah nisije kukutusi nikaharibu swaumuMkude ndio replacement ya Aucho
Leo tutasikia mengi sana.
Baada ya game nitajifunza maneno mapya ya mtu aliyekata tamaa
Saizi ni muda rafiki unaruhusiwa.Hah nisije kukutusi nikaharibu swaumu
Hana umuhimu siyo....Kocha hachezi
Sawa,Walivunja Yanga sio mimi😅
Katika kupatia hapa kwa mkude kapatia sana kochaNi mara 100 anacheza Mkude hiyo namba kwa sababu ni mzoefu na ni mpigaji mzuri wa pasi ndefu za counter attack. Ila angeanza Sure Boy kwenye hiyo namba kama alivyochezeshwa kwenye mechi na Azam, aisee hata mimi ningeingiwa na hofu.
At least kikosi kimejaa wachezaji wenye experience ya kutosha.
are you serious zawadi mauya ni bora uyo uyo mkudeBadala ya Mkude angecheza Mauya au Sure Boy
Tukishinda nakurudia,wakati nungu nungu anatoa assist Kama modric,Saizi ni muda rafiki unaruhusiwa.
Ingekuwa middle of the day sawa
Mtani mimi nimeondoka hapo.Yaani nimelipia tiketi naishia kupigwa mabomu huku nje 🥲😭😭😭😭😭
Utasubiri sana kama mwarabu kawanyoa basi fanyeni mjiandae Cairo mkaliwe tenaPayments is here here (malipo ni hapa hapa)
Vyura kweli hamjiamini maneno Mengi ila ujasiri 0 wazee wa Timu ya ushindani leo yamekua ayoKweli mpira ni haram, starehe gani moyo unadunda kama ngoma
Kila laheri Nungunungu....Leo ndio siku ya Mkude kurudisha heshima yake na kuonesha yeye ni mkongwe wa michuano hii, uzuri Mamelodi hawakuwa na hesabu naye.
Hiki kikosi kinakwenda kuwaduwaza wanaoishi Kwa mazoea.
Narudia tena, Mkude Leo anakwenda kurudisha heshima yake.
Haa unaji fariji, wenyewe mmepewa moyo na Ahmed mtapindua meza Misri, kule kuna majamvi wewe jiandae kukunjwa.Mashabaki wa Vyura washapagawaa piga haooo Nyuma mwiko