Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka afanye jamboo lake,Unataka afanyaje🙄
Tulia tukukandie hawa amapiano[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unajitetea vipi weyeee? Tulizanaa bhana we.
Hizo ni techniques tu mkuu, kama wao wame invest sasa kjnawazuia nini ku comply na investment yao? Hapo kwenye pitch ni mbinu tu na akil za wachezaji hakuna pesa wala uwekezaji hapo!Yeah jamaa wame invest , wanapata shida na Yanga sababu kuna namna Yanga anacheza ule mpira wa SSC na Yanga
Haya magazeti wanayanga hatusomi. Huo ushauri muandikie mangungu huenda ukamsaidia robo fainali msimu ujaoGoli ni goli bila kujali limepatikana dakika ya ngapi iwe ni sekunde ya kwanza ya mchezo au dakika za nyongeza.
Mtu yoyote yule anaeujua mpira hawezi kuja point nyepesi kama yako, unless awe ni mkata nyanya jikoni huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] weraaa weraaaaTulia tukukandie hawa amapiano
😂😂nImemaanisha Kumradhi ni samahani ndugu mteja😀Uko unaniita kumradhi juu ya nini? Me sio kumradhi wako[emoji16]
Amini kwamba mshua.....Anaongoza ngapi?
Tumeona ila leo Yuko kwnye fomu balaaMax kapewa yellow
Sasa utambeza vipi anaefika hatua hiihii miaka yote wakati wewe ndio unaingia leo robo fainali kwa mara ya kwanza tangu klabu yako ianzishwe?wewe huku umewahi fika wapi si unaishia hatua hii miaka yote