ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
So far so good
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
bado yupo yanga kazi yake ni ku danceNje ya mada.....
Hivi Skudu aliendaga wapi? [emoji3166][emoji3166][emoji3166]
Aina ya wachezaji aliokutana nao ndio wanafanya aonekane kupwaya.Azizi K leo kapwaya
tulia mrembo we shughuli yako imeasha janaHawa masandawanaa wana pass za kiwakiii, watu tunataka tulee pasakaa kwa uzuri kabisaa.
Les équipes de bongo sont difficiles, chérieNje ya mada.....
Hivi Skudu aliendaga wapi? 🧐🧐🧐
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nimetuliaaa haswaaaa.Hahhahahah tulia wewe [emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81]
Jana nyie dk za mwanzo wamewapiga cha mkwezi 🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23] haswaaa tena wenuu kabisaa.
Kiko wapi
Kama jana ulifungwa uwezi onaShalulile huyu Leo mbona km simuelewiii hivii, sioni kile kitu huwa anafanya always??
Kwa hio wewe unajua kuliko kocha wao?Sundowns wanacheza mchezo wa woga bila sababu. Hawa Yanga weupe sana kama jamaa wangewapelekea moto unaotakiwa. Sijui kwanini wanapoozesha mpira nyuma bila sababu za maana.
wewe huku umewahi fika wapi si unaishia hatua hii miaka yote
wew una makombe mangapi na mpira wako unao chezaMamelod is overrated nimewadharau
Kwa jinsi wanavocheza inaakisi kabisa kwanini wana kombe moja tuu tangu 2016 huko
Sio kweli.Hizo ni techniques tu mkuu, kama wao wame invest sasa kjnawazuia nini ku comply na investment yao? Hapo kwenye pitch ni mbinu tu na akil za wachezaji hakuna pesa wala uwekezaji hapo!