kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Ingia uchezee😂😂Mbinu zimezidi mpaka zinaboa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingia uchezee😂😂Mbinu zimezidi mpaka zinaboa
Mbona wataja jina langu mzee?Mayanga yanapoteza mipira hovyo yaani ni zero brain.
Mimi mechi ya jana imenifanya nistaafu ushabili damu, mtu unaweza kufa kizembe ukiwa hujatubu dhambi hata moja.
Nyuma mwiko shida ninNgap ngap apo wananchi
KabisaMbinu zimezidi mpaka zinaboa
wawache kuwowota wale daku walaleHivi kuna watu wanaamini Yanga itapata goli Leo? 😆😆😆😆
Hivi kuna watu wanaamini Yanga itapata goli Leo? [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Huyo atahamasisha wachezaji wengine kupanda juu akianza mbio zake, kitu ambacho Gamond hana muda nacho kabisa leo.Mzize apumzike aingie Okrah, Gamond kama ananisikia atanishukuru.
Ndio class yake hiyo.Mzizee huyu naye boya tu
wakati wao ndo wanakoswa hizi dakika mkuu vpIla sundown wana dharau sana waneona ngoja sasa wacheze wawaoneshe vyura wao ni nani hasa..
Ni mwendo wa kupishana sasa..
uyu jamaa kwenye team zina jielewa angekuwa ni sub ya kuanzia dk ya 80 ..Mzinzee ni bekii au mshambuliajii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huko nyuma muda wote anafanya nn? Woiiiiiih