Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si walisema atakua anawapa siri za sauzi afrika[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu bhana,
wew ulichomwa jana kumoko shwaaaaaayanachoma uwanja wa nin mapumbavu haya
unaota usingizi wa pono mechi imeisha hiyo tukutane semi finalKama hii memelodi ilio weka full mkoko wame shindwa kuwafunga Yanga wa leo baaasi match ijayo wana pigwa vzurii saana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbona kawapa, na kasaidia sare had muda huu.Sasa si walisema atakua anawapa siri za sauzi afrika
Au nakosea ndugu zangu
Wewe vipi!! Mbona jana walipowasha waarabu baada ya kuwagonga lile goli hukulalamika?Hii mimoshiiii bhana inakeraaa sana, ndo nn? Upuuzi huu.
Bora hzo 5REFAA HANA UBINADAMU KABISA YAAN NA MATESOO HAYA ANAONGEZA DK 5 AISEE
AmeenKAMA N MAPENZI YA MUNGU KIKOMBE HIKI KITUPITE MPIRRA UISHE TU