Sultan MackJoe Khalifa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2022
- 6,782
- 14,148
ft 😀odoma 0-1 Yanga.
point tatu kwa Yanga🤣
point tatu kwa Yanga🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ligi ya kupumzika mwezi mzima sijawahi ona pengine hapa duniani... only in Tanzania.Dah! Washambuliaji wangu hawana kabisa utulivu. Kwa hali hii kazi tunayo.
Visingizio vimeanza ...Naona mapumziko ya Afcon yameiathiri pakubwa sana timu ya Yanga. Baadhi ya wachezaji wamekuwa wazito mpaka basi.
[emoji23][emoji23][emoji23] Pila Gamondipila Gamondi[emoji16][emoji16]
Mnatuchanganya mjuegooooooolllllll
kaloga au katoa vilivowekwa paleMzize kaloga
Mtani mlileta uzembe kuwapumzisha wachezaji muhimu kucheza mapinduzi tena bila sababu yoyote ya msingiNaona mapumziko ya Afcon yameiathiri pakubwa sana timu ya Yanga. Baadhi ya wachezaji wamekuwa wazito mpaka basi.