Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Magoli ya kutafuta kwa tochi wakati mwingine yana raha ya kipekee.Magoli gani sasa hayo ya kutafuta kwa tochi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magoli ya kutafuta kwa tochi wakati mwingine yana raha ya kipekee.Magoli gani sasa hayo ya kutafuta kwa tochi
Rudia tena kuandika huu umbumbumbu wenu..!!Dodoma Jiji wakomalieni hao watindiga muondoke na point 3 wanafungika kabisa
Muda umeshaongea, ahaya lete ukolo wako tenaTuliza mshono muda utaongea
Wewe ni kocha wa timu gani sijui, labda tuanzie hapo.Guede sio mfunga magoli anafaa kucheza movie ,
Inakuwaje ananunuliwa mchezaji bila kujua performance yake Hata kujaribu mashuti ya maana hakuna??, nafuu ingesajili mtanzania sema tuna tabia ya kudharau vya kwetu kama timu ya Afcon na wahindi .
Nzengeli naye anapiga chenga mahali hakuhitajiki na mashuti mahali hakuhitajiki kuna haja akae benchi kwa muda akili imrudie
Huna akili, katika mechi nne Yanga kakusanya points ngapi?Wewe ni mmoja wa atu wasitumia akaili; unaandika pumba tu badala ya kuandika kulingana na mada. Sasa kwa sweali lako kwa nini usiulize timu nhyingine kama Azam ila umekimbilia simba tu. Halafau umeshindwa kuelewa kuwa performance hiyo ya Yanga hiyo inepimwa na performance yake wakati ligi inaanza
Ndio hicho hicho kilicho wapiga [emoji2772]Sàsa hiki kikosi ndio kitatoa suluhu na Al Ahly?
Na kumfunga Beluzidad?
Tunao jua mpira kumbe ni wachache sana yani leo hii Hafizi awe sawa na Guede.Hamna mnachojua kuhusu mpira nyie. Jamaa sijaona shida yake mpaka mseme hivi
Mchezo unatufanya tuwe na roho mbaya aiseee... 😂 😂 😂 😂😁😂🤣Pole sana mtani hii Mimi ilinikutaga juzi kwenye mechi ya mali ile aisee mchezo wa mpira ni mchezo wa mokosa sana😁😂😂
Niko poa mtani. Walibana wakaachia..!!Uko poa?? Jana ulikua wapi wakati vyura wanataabika uwanjani
Huna akili, katika mechi nne Yanga kakusanya points ngapi?