FT: Yanga SC 1-0 Dodoma Jiji | NBC premier League | Azam Complex | 05.2.2024

FT: Yanga SC 1-0 Dodoma Jiji | NBC premier League | Azam Complex | 05.2.2024

Ni kawaida kwa watoto kuweka kumbumbuku kwa mambo yaliyopita, utasikia wanatambishia wengine.... "tulikula ubwabwa kwa khanji Bay.."

Hawajui kuwa huyo Khanji Bay mwenyewe huo ubwabwa huwapa hadi mbwa wake 😂😂

Utoto raha sana, waache watambe ila siku wakikua wataacha tambo zao za kitoto
Kabisa kabisa
 
⚽️ Young Africans SC Vs Dodoma Jiji
05.02.2024
🏟 Azam Complex
🕖 1:00 Usiku.
View attachment 2894502
Mpira umeanza
Dakika ya 5
0-0

Dakika ya 9
Yanga SC wanapata Kona ya kwanza

Dakika ya 15
Bado ni 0-0

Dakika ya 20
Yanga SC wanakosa goli la wazi

Dakika ya 25
Pacome anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 27
Mchezaji wa Dodoma anapewa kadi ya njano

Dakika ya 30
Bado 0-0

Dakika ya 35
Yanga SC wanapata Kona ya 2
Wanashambulia sana pacome na musonda wamekosa nafasi ya wazi kabisa

Dakika ya 37
Lomalisa anapiga mpira mzuri ndani ya boxi ya Dodoma jiji inamkuta musonda anapiga kichwa kinaenda nje ya uwanja

Dakika ya 40
Bado 0-0

Dakika ya 44
Musonda anafanya Madhambi na anapewa kadi ya njano

dakika ya 45 niongeza 6
yanga wanashambulia sana musonda anakosa nafasi ya wazi dakika ya 47 mchezaji wa Dodoma jiji anapewa kadi ya njano
View attachment 2895331
Kipindi cha pili kimeanza
Dakika ya 50
Bado 0-0

Dakika ya 55
Musonda anakosa nafasi ya wazi

Dakika ya 60
Pacome anakosa goli
Yanga SC wanapata Kona ya 5
Wanafanya mabadiliko hapa
Anatoka musonda anaingia mzize na anatoka mkude anaingia mudathir

Dakika ya 65
Bado ni 0-0 Yanga SC wanapata Kona ya 6 guede anapiga mpira kichwa unaenda nje

Dakika ya 70
Bado 0-0

Dakika ya 75
Bado ni 0-0 Yanga SC wanashambulia sana wanapigwa Kona ya 11

Dakika ya 82
Mzize anapiga kichwa kikali kipa anatoa Kona ya 12 inapigwa hapa musonda nae anapiga kichwa kipa anatoa hapa

Dakika ya 85
Gooool mudathir anafunga goli hapa kapokea pasi nzuri sana kutoka kwa pacome

Dakika ya 90 niongeza 5
Full time
View attachment 2895387
Daimambele!
Point 3 muhimu sana
 
Hilo li mzeze ni jinga..wanawaonea sana timu hizi wakati jujui wao ana mtaulo huwa anauweka pembeni...Manula ana mtaulo mbona huwa hawaitoa mtaulo wa kipa wa Simba?
Hapo ndo huwa nawaza sana fikra za Kiongozi wao Injinia. Kutwa kujinasibu kuwa na utawala Bora sio uongozi Bora ila timu yake ndo inaongoza kwa kupita milango isiyoruhusiwa na kuwaza ushirikina Tu
 
Hapo ndo huwa nawaza sana fikra za Kiongozi wao Injinia. Kutwa kujinasibu kuwa na utawala Bora sio uongozi Bora ila timu yake ndo inaongoza kwa kupita milango isiyoruhusiwa na kuwaza ushirikina Tu
Yani pale mazindiko yamelala...
 
Niko na mr tunaangalia mechi basi tunafurahia dkk zinasonga huku tunaomba wadroo sasa ile hali ya kuomba hilo...
Aisee roho mbaya inatesa sana... 😂 😂😂
😁😂🤣Pole sana mtani hii Mimi ilinikutaga juzi kwenye mechi ya mali ile aisee mchezo wa mpira ni mchezo wa mokosa sana😁😂😂
 
Back
Top Bottom