Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #381
Maumivu wapi wakati sisi tunaongoza ligiUto mbovu bin mbofu. Mjiandae kwa maumivu...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maumivu wapi wakati sisi tunaongoza ligiUto mbovu bin mbofu. Mjiandae kwa maumivu...
Sio kweliSiku za Gamondi zimehesabiwa. April ni majaliwa
Kwani nyie simba ule moto mliochoma uwanja pale south Afrika ulikuwa wa kazi gani?Hujaliona likijana lenu Mzize linatoa taulo la kipa golini na kufukua kwenye mlingoti likiamini goli haliingii kwa sababu ya vitu kufukiwa. Likijana kama hilo utalipeleka wapi kama sio kuchezea hapa hapa Bongo?
Bila furaha..Maumivu wapi wakati sisi tunaongoza ligi
Mbona umepanic sana?Hujaliona likijana lenu Mzize linatoa taulo la kipa golini na kufukua kwenye mlingoti likiamini goli haliingii kwa sababu ya vitu kufukiwa. Likijana kama hilo utalipeleka wapi kama sio kuchezea hapa hapa Bongo?
Mkuu mbona kama wewe umeshtukia mapema sana kabla ya wenzako? Nimekukubali mkuu una jicho la mpira huyu Guede ni bora Konkoni nakwambiaHivi huyu Guede ana utofauti gani na Hafiz Konkoni!! Naona mikimbio yake ya kawaida sana eti.
Ule pia ulikuwa ni upuuzi. Tabia zile zile za kiswahili na mwenye akili hawezi kuunga mkono.Kwani nyie simba ule moto mliochoma uwanja pale south Afrika ulikuwa wa kazi gani?
Sema inaonekana roho imekuuma sana mtani😂😁🤣Bila furaha..
Ww limbukeni hizo 5 mm ukinambia sishtuki labda kama kuna wengine zinawauma..tano zimefungwa sana na mnyama..ameshawalaza mlango nje kwa goli 6 kwa 0...ila kwa ulimbukeni wenu mpk leo 5 tanoo...Wenzenu wanajikaza wanafungwa moja nyie mnajilegeza adhabu yake ni kono la nyani
Nataka vijana wajitambue.Mbona umepanic sana?
Mnyama anahitaji kushinda game zote.MSIMAMO | Tumerejea kileleni…….
View attachment 2895390
Kwa mbindeeeee....yani hamna furaha mtani na huyo forwad wenu mtakatifu Joseph anaruka ruka tuu...MSIMAMO | Tumerejea kileleni…….
View attachment 2895390
Kwa hio huo ndio uchawi?Hujaliona likijana lenu Mzize linatoa taulo la kipa golini na kufukua kwenye mlingoti likiamini goli haliingii kwa sababu ya vitu kufukiwa. Likijana kama hilo utalipeleka wapi kama sio kuchezea hapa hapa Bongo?
Yanga kwny rada zangu siwaoni wakichukua ubingwa msimu huu...Mnyama anahitaji kushinda game zote.
Simba asipokuwa bingwa, Basi Azam bingwa
Mtani yule gwede tumeliwa pesa pale 😁😂Kwa mbindeeeee....yani hamna furaha mtani na huyo forwad wenu mtakatifu Joseph anaruka ruka tuu...
Ushirikina...Kwa hio huo ndio uchawi?
Kaka una andika ukiwa umelewa Nini 😁🤣😂Mnyama anahitaji kushinda game zote.
Simba asipokuwa bingwa, Basi Azam bingwa