uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
mmepigwaHivi huyu Guede ana utofauti gani na Hafiz Konkoni!! Naona mikimbio yake ya kawaida sana eti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mmepigwaHivi huyu Guede ana utofauti gani na Hafiz Konkoni!! Naona mikimbio yake ya kawaida sana eti.
uyo ni skudu aliechangamka tu sion kitu paleHivi huyu Guede ana utofauti gani na Hafiz Konkoni!! Naona mikimbio yake ya kawaida sana eti.
Gamond hamna kochaa hapohata mm sijapenda maana jamaa alikuwa anawapelekea moto sana hawapandi kuja golini kwa yanga
Azam wanawasubiria kwa hamuDodoma wapumbavu
Magoli gani sasa hayo ya kutafuta kwa tochiAzam wanawasubiria kwa hamu
umeona kipa pale alikua na kilogaji chake mzizie akakitoaDodoma wapumbavu
Kwani Aziz Ki Bado anaendelea na Afcon? Au ana iraia pacha.Ila tuna strugle sana.
Wacha aziz ki arudi tu
Ule ni mpiraumeona kipa pale alikua na kilogaji chake mzizie akakitoa
Wameshindwa kukaza hadi mwishoDodoma wapumbavu
Yani kwa mbiiiindeeeHawaamini.
Wameponea Chupu chupu.
Wamenikera kweli..ila kwa Yanga hii ya round hii watapigwa mnooWameshindwa kukaza hadi mwisho
baada ya kauchawi kutolewa pale kwa tauloDodoma mmewapa pumzi ya moto mnakuja kuharibu mwishoni pambavuuuu
Ni mpira acha wengebaada ya kauchawi kutolewa pale kwa taulo
So ulitaka wapigwe [emoji2772] kama nyie?Wamenikera kweli..ila kwa Yanga hii ya round hii watapigwa mnoo