EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
ndio ivo wamechapikaaNi mpira acha wenge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndio ivo wamechapikaaNi mpira acha wenge
Sema tena na tena hakikisha Mangungu anakusikiaKwa Kifupi Baada ya Hii game Yanga na Azam watakuwa wanalingana Mechi kwa tofauti ya Point moja.
Means Uto point 32
Azam Point 31.
Hizi suluhu hizi zinamleta mnyama kileleni kirahisi sana
[emoji736][emoji736]Suluhu bin suluhu hii.
keep this
Wa WhatsApp group
Kwamba wapigwe kama 5imba?So ulitaka wapigwe [emoji2772] kama nyie?
Uchawi upo wapi kijana wa RageChezaji linachezea inayoitwa timu kubwa halafu linaamini uchawi...safari ni ndefu.
Hawajui kama 5 hua ni kwa maelekezo maalumuKwamba wapigwe kama 5imba?
PoleHaya magoli ya dakika za mwisho badilisheni mganga...
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Hujaliona likijana lenu Mzize linatoa taulo la kipa golini na kufukua kwenye mlingoti likiamini goli haliingii kwa sababu ya vitu kufukiwa. Likijana kama hilo utalipeleka wapi kama sio kuchezea hapa hapa Bongo?Uchawi upo wapi kijana wa Rage
Uto walitepeta mnoo..vijana wameshindwa kuwapiga hao vyura kweli...So ulitaka wapigwe [emoji2772] kama nyie?
Yani ni majanga...Hujaliona likijana lenu Mzize linatoa taulo la kipa golini na kufukua kwenye mlingoti likiamini goli haliingii kwa sababu ya vitu kufukiwa. Likijana kama hilo utalipeleka wapi kama sio kuchezea hapa hapa Bongo?
Sio kweli timu nzima sasa hivi ipo down tuna game moja ya kurudi kwenye formYanga ni K. Azizi
Pengo lake linaonekana.
Wenzenu wanajikaza wanafungwa moja nyie mnajilegeza adhabu yake ni kono la nyaniUto walitepeta mnoo..vijana wameshindwa kuwapiga hao vyura kweli...
Kaama hujawahi pigwa 5 na mnyama basi na useme sasa...ila huo ulimbukeni watu wa unyamani hatuna..
Nyie bora mna points ngapi mpka sasa?Uto mbovu bin mbofu. Mjiandae kwa maumivu...
Mbona kama umemind man dunga? Ulitaka tusuluhu nini?Chezaji linachezea inayoitwa timu kubwa halafu linaamini uchawi...safari ni ndefu.