FT: Yanga SC 1-0 Dodoma Jiji | NBC premier League | Azam Complex | 05.2.2024

FT: Yanga SC 1-0 Dodoma Jiji | NBC premier League | Azam Complex | 05.2.2024

Kwa Kifupi Baada ya Hii game Yanga na Azam watakuwa wanalingana Mechi kwa tofauti ya Point moja.

Means Uto point 32
Azam Point 31.

Hizi suluhu hizi zinamleta mnyama kileleni kirahisi sana
Sema tena na tena hakikisha Mangungu anakusikia
 
Chezaji linachezea inayoitwa timu kubwa halafu linaamini uchawi...safari ni ndefu.
 
Haya magoli ya dakika za mwisho badilisheni mganga...

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Pole
20231112_124734.jpg
 
Uto walitepeta mnoo..vijana wameshindwa kuwapiga hao vyura kweli...
Kaama hujawahi pigwa 5 na mnyama basi na useme sasa...ila huo ulimbukeni watu wa unyamani hatuna..
Wenzenu wanajikaza wanafungwa moja nyie mnajilegeza adhabu yake ni kono la nyani
 
Back
Top Bottom