uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
Kabisa.Yanga kwny rada zangu siwaoni wakichukua ubingwa msimu huu...
Mpira wao ni wakubahatisha sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa.Yanga kwny rada zangu siwaoni wakichukua ubingwa msimu huu...
Kumbe?Nasikia mmebebwa tena..nilikua nje nakuta goli nasikia wa dom kafanyiwa faulo lakini refa kapeta ikaenda kuzaa goli....hizi timu zinaboa jamani..hivi hao wachezaji wengine mnawaoma matikikiti???
Balaa na nusu tumeliwa fwedhwaaa na yule wetu FredwaaaaMtani yule gwede tumeliwa pesa pale 😁😂
wala sinywi pombe katikati ya wikiKaka una andika ukiwa umelewa Nini 😁🤣😂
Hamna mnachojua kuhusu mpira nyie. Jamaa sijaona shida yake mpaka mseme hiviMtani yule gwede tumeliwa pesa pale 😁😂
Timu za kariakoo za kihuni sanaBalaa na nusu tumeliwa fwedhwaaa na yule wetu Fredwaaaa
Wazungu gani tena [emoji23][emoji23] kula 5Ww limbukeni hizo 5 mm ukinambia sishtuki labda kama kuna wengine zinawauma..tano zimefungwa sana na mnyama..ameshawalaza mlango nje kwa goli 6 kwa 0...ila kwa ulimbukeni wenu mpk leo 5 tanoo...
Nadhani wazungu wakiona comments za utopwox wanajiuliza hivi hawa 5 hizi waliotea au???? Mbona kama wana ka ushamba fulani hivi
Ukijua wewe inatoshaHamna mnachojua kuhusu mpira nyie. Jamaa sijaona shida yake mpaka mseme hivi
Nyie Kigoma mmeshinda ngapi?Kwa mbindeeeee....yani hamna furaha mtani na huyo forwad wenu mtakatifu Joseph anaruka ruka tuu...
Tumeweka rejea post no 373Naomba msimamo tafadhari
Kwahiyo Wazungu ndio umeona wa maana sana. Huoni Man U wanakumbushiaga zile 8 walizompiga Arsenal? Kwanini mmefungwa 5 nyie RAGE FC?Ww limbukeni hizo 5 mm ukinambia sishtuki labda kama kuna wengine zinawauma..tano zimefungwa sana na mnyama..ameshawalaza mlango nje kwa goli 6 kwa 0...ila kwa ulimbukeni wenu mpk leo 5 tanoo...
Nadhani wazungu wakiona comments za utopwox wanajiuliza hivi hawa 5 hizi waliotea au???? Mbona kama wana ka ushamba fulani hivi
Hatupo kwenye Radar tupo kwenye satelliteYanga kwny rada zangu siwaoni wakichukua ubingwa msimu huu...
Tafta mchezo mwingine ushabikie football sio fani yakoMtani yule gwede tumeliwa pesa pale [emoji16][emoji23]
Ukijua wewe inatoshaTafta mchezo mwingine ushabikie football sio fani yako
Ukijua wewe inatosha
Sio uchawi ni sayansi.Kwa hio huo ndio uchawi?
Ni kawaida kwa watoto kuweka kumbumbuku kwa mambo yaliyopita, utasikia wanatambishia wengine.... "tulikula ubwabwa kwa khanji Bay.."Nadhani wazungu wakiona comments za utopwox wanajiuliza hivi hawa 5 hizi waliotea au???? Mbona kama wana ka ushamba fulani hivi
Naomba msimamo tafadhari
Hilo li mzeze ni jinga..wanawaonea sana timu hizi wakati jujui wao ana mtaulo huwa anauweka pembeni...Manula ana mtaulo mbona huwa hawaitoa mtaulo wa kipa wa Simba?Ila wajinga washirikina sana hawa utopox [emoji38][emoji38] sasa uwanjani hivi huko kambini dah sipati picha