FT: Yanga SC 1-0 Dodoma Jiji | NBC premier League | Azam Complex | 05.2.2024

FT: Yanga SC 1-0 Dodoma Jiji | NBC premier League | Azam Complex | 05.2.2024

Ww limbukeni hizo 5 mm ukinambia sishtuki labda kama kuna wengine zinawauma..tano zimefungwa sana na mnyama..ameshawalaza mlango nje kwa goli 6 kwa 0...ila kwa ulimbukeni wenu mpk leo 5 tanoo...
Nadhani wazungu wakiona comments za utopwox wanajiuliza hivi hawa 5 hizi waliotea au???? Mbona kama wana ka ushamba fulani hivi
Wazungu gani tena [emoji23][emoji23] kula 5
 
Ww limbukeni hizo 5 mm ukinambia sishtuki labda kama kuna wengine zinawauma..tano zimefungwa sana na mnyama..ameshawalaza mlango nje kwa goli 6 kwa 0...ila kwa ulimbukeni wenu mpk leo 5 tanoo...
Nadhani wazungu wakiona comments za utopwox wanajiuliza hivi hawa 5 hizi waliotea au???? Mbona kama wana ka ushamba fulani hivi
Kwahiyo Wazungu ndio umeona wa maana sana. Huoni Man U wanakumbushiaga zile 8 walizompiga Arsenal? Kwanini mmefungwa 5 nyie RAGE FC?
 
Nadhani wazungu wakiona comments za utopwox wanajiuliza hivi hawa 5 hizi waliotea au???? Mbona kama wana ka ushamba fulani hivi
Ni kawaida kwa watoto kuweka kumbumbuku kwa mambo yaliyopita, utasikia wanatambishia wengine.... "tulikula ubwabwa kwa khanji Bay.."

Hawajui kuwa huyo Khanji Bay mwenyewe huo ubwabwa huwapa hadi mbwa wake 😂😂

Utoto raha sana, waache watambe ila siku wakikua wataacha tambo zao za kitoto
 

Attachments

  • 20240205_211726.jpg
    20240205_211726.jpg
    90.1 KB · Views: 1
Ila wajinga washirikina sana hawa utopox [emoji38][emoji38] sasa uwanjani hivi huko kambini dah sipati picha
Hilo li mzeze ni jinga..wanawaonea sana timu hizi wakati jujui wao ana mtaulo huwa anauweka pembeni...Manula ana mtaulo mbona huwa hawaitoa mtaulo wa kipa wa Simba?
 
Back
Top Bottom