ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Mbona ushirikina haukufanya kazi bukoba?Wewe umeona taulo Tu. Hata baada ya taulo kutolewa bado alikuwa anapekua pekua golini. Ushirikina Tu hakuna lingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona ushirikina haukufanya kazi bukoba?Wewe umeona taulo Tu. Hata baada ya taulo kutolewa bado alikuwa anapekua pekua golini. Ushirikina Tu hakuna lingine
Ulimpumbaza mshika kibendera au hujui kilichotokea.Mbona ushirikina haukufanya kazi bukoba?
Kalpana una Mr wangapi?Niko na mr tunaangalia mechi basi tunafurahia dkk zinasonga huku tunaomba wadroo sasa ile hali ya kuomba hilo...
Aisee roho mbaya inatesa sana... [emoji23] [emoji23][emoji23]
Ft 0 - 0Suluhu bin suluhu hii.
keep this
Ya mtu mwanchie mtuKalpana una Mr wangapi?
Kuna siku humu ulisema Mr wako ni YANGA leo kwa pamoja mnaomba ifungwe, au ameshamteka kwenye ushabiki wa mpira?
Akili za kinjinga hizi, mchezaji wa Dodoma Jiji na kipa hadi wanamwonyeshea refa taulo linakung'utwa hamna kitu.umeona kipa pale alikua na kilogaji chake mzizie akakitoa
🤝Ule pia ulikuwa ni upuuzi. Tabia zile zile za kiswahili na mwenye akili hawezi kuunga mkono.
Tunawapa mechi 5 ,gari lishakata moto lileYanga ni timu ya hovyo sana basi tu
Leo kila mchezaji walikosa utulivu, achana na Guede, angalia Musonda mchezaji mzoefu Yanga lakini kuna nafasi na move kibao kazipoteza za magoli.Hivi huyu Guede ana utofauti gani na Hafiz Konkoni!! Naona mikimbio yake ya kawaida sana eti.
Yanga naona haina spidi tena. Michezo minne ya mwisho imekuwa inapita kwa mbinde mbinde sana. Costal 1-0, Tabora 1-0, Kagera 0-0, Dodoma 1-0Kuna uwezekano mnara wa 5G ukasimama tena
Ni kweli tumezoea mnara kwanini inashinda goli 1?Yanga ni timu ya hovyo sana basi tu
Tupe michezo minne ya mwisho ya 5imba tulinganisheYanga naona haina spidi tena. Michezo minne ya msiho imekuwa inapita kwa mbinde mbinde sana. Costal 1-0, Tabora 1-0, Kagera 0-0, Dodoma 1-0
Akikujibu nitagTupe michezo minne ya mwisho ya 5imba tulinganishe
Wewe ni mmoja wa atu wasitumia akaili; unaandika pumba tu badala ya kuandika kulingana na mada. Sasa kwa sweali lako kwa nini usiulize timu nhyingine kama Azam ila umekimbilia simba tu. Halafau umeshindwa kuelewa kuwa performance hiyo ya Yanga hiyo inepimwa na performance yake wakati ligi inaanzaTupe michezo minne ya mwisho ya 5imba tulinganishe
Kuna mazingira ambayo yamechangia hiyo hali.Yanga naona haina spidi tena. Michezo minne ya mwisho imekuwa inapita kwa mbinde mbinde sana. Costal 1-0, Tabora 1-0, Kagera 0-0, Dodoma 1-0
Mkuu Beluzidad hawakamii.Sàsa hiki kikosi ndio kitatoa suluhu na Al Ahly?
Na kumfunga Beluzidad?