si anaona marefa wanafanya utoto uliopitilizaGamondi kamaindi sana
Azam msiniangushe keshoTukubaliane Uto wanafanikiwa kibahati tu.
Hakuna Ball hapa
Washazoea kupigwa mitungo, hata 2 wanapigwa kwa mpigo. Yanga wastaarabu ni mwendo wa kimoko mpaka 7Kimoko kimoko ukijumlisha ubao unasoma 7-2 😹
Kimoja cha nguruwe unajuwa kinazaa watoto wangapi?nyie sasa ni wakimoja kimoja tena chakutafuta kwa tabu sana
Ngoma ya watoto haikeshi.Full time Yanga 1:0 Kagera sugar
ee bora yeye anarusha mimi ningewapiga mbupu marefaGamondi anarusha ngumi hapa 🤣🤣🤣🤣
Tunamkanda vibaya mno
Kwa mbiiiiiiiindeFull time Yanga 1:0 Kagera sugar
wew tulikupiga ngapi?nyie sasa ni wakimoja kimoja tena chakutafuta kwa tabu sana
Basi sawaMudathir ndo kafunga huko😂
Kimoko kimoko ukijumlisha ubao unasoma 7-2 😹
Wewe kama sio ushindi ungepotea kabisaVipi nizimie tena Mtani? 🤣🤣🤣
Mapepo yenu yalifungawew tulikupiga ngapi?