EricMan
JF-Expert Member
- Oct 5, 2017
- 3,050
- 5,420
andika vizuriYanga imeishaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
andika vizuriYanga imeishaaaaaa
Guede kafunga clear goal very clear line two kasema ni offsideNini kimetokea hadi kumind hivyo?
Mm nimekuta mwishonimwishoni
Labda msuli wa usoYaan sijui kapenda nini pale...
Kocha wa Azam ameshawatahadharisha marefa mechi yao na Simba timu yenye uwezo iachwe ishinde.Marefa wetu changamoto sana kwenye kutoa maamuzi sahihi
Goli la Guede limekataliwa Kwa madai ya offside lakini marudio yanaonyesha inside ya mbali.Nini kimetokea hadi kumind hivyo?
Mm nimekuta mwishonimwishoni
Yaan hadi niliona aibu mimiKocha wa Azam ameshawatahadharisha marefa mechi yao na Simba timu yenye uwezo iachwe ishinde.
Maana kilichofanyika mechi ya Simba na Tabora united ni dhuluma ya wazi.
poleee sanaTusio ipenda yanga tunapata shida Sana
Eroni ni baba angu, sio sawa kumtolea mfano
Hahahahasumbai fanya muamalaa🤸💚💚View attachment 2984876
naunga mkono hojaGoli la Guede limekataliwa Kwa madai ya offside lakini marudio yanaonyesha inside ya mbali.
Kosa lake ni kuwa usawa wa kipa badala ya usawa wa mchezaji wa pili wa mwisho.usiwalaumu ndio akili yao ilipofikia apo
Nimenusa harufu ya utapeliHahahaha
Sogea mpesa hapo kwenye kibanda egemea nafanya muamala
Hahaha wakili Kama wakiliMimi kama wakili wako wa kujitegemea ntahakikisha hili swala linatekelezwa
Jikite kwenye confederation cup tafadhaliYanga imeisha....majini yamekats moto hakuna kitu hapa..m
Fanya hima sheikh usitake uje utoe na fidia😃Hahaha wakili Kama wakili
Makolo ndio wajuwe kuitwa bingwa siyo jambo dogo lazima watu wapambane home and away ndio apatikane bingwa, siyo mabonanza ya kujitungia tu mechi mbili unapewa kombe stukeni mnachoreshwa tu.Guede kafunga clear goal very clear line two kasema ni offside
Ajabu sana!!!
Kwa mtu ambae amekuwa kwenye touch line anajua maumivu ya maamuzi mabaya
Huyu asipolipa Leo unipe taarifa kuanzia kesho tutaanza kumdai na fidiaView attachment 2984881
Nimekukusanyia ushahidi mwingine wa kurahisisha kazi yako💚💛☺️😌
Marefa wetu ni changamoto sana wanachangia kwa kiasi kikubwa kurudisha mpira wetu nyumaKocha wa Azam ameshawatahadharisha marefa mechi yao na Simba timu yenye uwezo iachwe ishinde.
Maana kilichofanyika mechi ya Simba na Tabora united ni dhuluma ya wazi.