data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,858
- 23,768
Kuna mpango wa uhalifu kabisa aisee...Marefa waleo nimakolo kabisaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mpango wa uhalifu kabisa aisee...Marefa waleo nimakolo kabisaaa
Kaka hivi mnajua Leo mmeshinda kihuni saana.Fanya hima sheikh usitake uje utoe na fidia😃
Na wewe Hio hela tuma kihuniKaka hivi mnajua Leo mmeshinda kihuni saana.
Kagoli kamoja tuu Kaka hamstahili zawadi
Wametoa pesa yao na bado wamekaziwa.Nini kimetokea hadi kumind hivyo?
Mm nimekuta mwishonimwishoni
Futa hii.Burudani!
Nilisema hapa nyie kuwa mabingwa bado mkaleta nyenye...thithi bingwa thithi bingwa.
Bado sana
naunga mkono hojaMakolo ndio wajuwe kuitwa bingwa siyo jambo dogo lazima watu wapambane home and away ndio apatikane bingwa, siyo mabonanza ya kujitungia tu mechi mbili unapewa kombe stukeni mnachoreshwa tu.
akikujibu nimpe lakiJikite kwenye confederation cup tafadhali
Acha kujinyea we Ubuntu Botho kumekucha amka usingizini [emoji38]Kariri hii
Hii game inaisha Sufri bin Sufri....
😄😄🤣🤣Kagera wamepata kona.
anything can happen
Nasubiri muamala acha manenoUmenusia wapi??
Majini yanatoa harufu
Makolokolo yakiteseka hivi kwanini Wananchi tusinenepe [emoji16]uto atapigwa kamoko ikfika dakika ya 85
Gamondi alitaka kurusha ngumi bana 🤣Acha kujinyea we Ubuntu Botho kumekucha amka usingizini [emoji38]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Mwamba hukati tamaa..Kuna mahali nimepita jamaa wanaprint tshirts za Ubingwa wa 30.
Angalieni msijekuzivalia ndani tu
Umenikusha zile t-shirt za kombe la mapinduzi Simba bingwaKuna mahali nimepita jamaa wanaprint tshirts za Ubingwa wa 30.
Angalieni msijekuzivalia ndani tu
Ligi imeshaisha Mzee pambania japo shirikisho.Kuna mahali nimepita jamaa wanaprint tshirts za Ubingwa wa 30.
Angalieni msijekuzivalia ndani tu
Mimi natuma hapaa chap japo Kwa shingo upandeNasubiri muamala acha maneno