🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇 𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #NBCPremierLeague
⚽️ Young Africans🆚Kagera sugar FC
📆 08.05.2024
🏟 Azam complex
🕖01:00 usiku
View attachment 2984485
Kikosi kinachoanza dhidi ya Kagera Sugar
View attachment 2984758
mpira umeanza
dakika ya 5
0-0
dakika ya 10
0-0
dakika 13
yanga sc wanafanya shambulizi aziz k ananaswa kwenye mtego wa offside
dakika ya 15
0-0
dakika ya 20
yanga sc wanapata kona
dakika ya 22
kagera sugar wanapata freekick chirwa kazchezewa madhambi wamepiga wamekosa
dakika ya 25
max kakosa goli la waziii bado ni
0-0
dakika 29
mpira umesimama kipa wa kagera sugar kaumia
dakika ya 31
kagera sugar wametengeneza nafasi chirwaaaaa anakosa nafasi ya wazi kabisaa
dakika ya 35
0-0
dakika ya 37
aziz k anakosa nafasi ya wazii
dakika ya 41
chirwaa amechezewa madhambi
dakika ya 43
pacomeee kakosa nafasi ya wazi
dakika ya 45+5
HT: Yanga SC 0-0 Kagera Sugar
View attachment 2984829
kipindi cha pili kimeanza
dakika ya 46
0-0
dakika ya 50
aziz k kafanyiwa madhambi kwenye boxi la kagera sugar anaenda kupiga mpiraa aiyaa amekosaa kagongesha mwamba chini kulia hapa
dakika ya 55
0-0