uran
JF-Expert Member
- Nov 11, 2013
- 10,392
- 15,948
pwinyox...Uto ....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pwinyox...Uto ....
Utaona tu mkuu
Na mapepo yamepungwa leoWatu wamegomea bahasha leo
Tayari kashapata penati nn bloangu?Yao ni mtu
Vumilia kidogo mtaongea baadae game haijaisha badoBurudani!
Nilisema hapa nyie kuwa mabingwa bado mkaleta nyenye...thithi bingwa thithi bingwa.
Bado sana
Yao goooooooooooal...ah! kumbe ni mtu tu 🤣🤣🤣🤣Yao ni mtu
Kariri hiiVumilia kidogo mtaongea baadae game haijaisha bado
Sawa...kwani !!??Kariri hii
Hii game inaisha Sufri bin Sufri....
Thithi bingwa 🤣🤣🤣Sawa...kwani !!??
uto atapigwa kamoko ikfika dakika ya 85Kariri hii
Hii game inaisha Sufri bin Sufri....
pepos + bahashazHawa Walifikaje fikaje robo..?
Kweli. Gamond aliremba sana kwa uchaguzi wake wa timu leo.Kariri hii
Hii game inaisha Sufri bin Sufri....
Bingwa wa mchongo huyo,😅😅Thithi bingwa 🤣🤣🤣
Oowe! utaua watu kwa pressure humu.uto atapigwa kamoko ikfika dakika ya 85
Sawa dakika ya 70 sasa. Muda utasema zaidiKariri hii
Hii game inaisha Sufri bin Sufri....
Niliwahi kusema hapa hii timu ina poor strategiesBingwa wa mchongo huyo,😅😅