mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
BRANCH
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyie si mpaka muone mtu avunjwe mguu ndio mseme fauloile iliyo pita refa kaokoa jahazi
Kwani makosa yanayopelekea penati yamefutwa siku hizi? Nilikuwa sijuikabisa mechi ile ya mwanzo refa kafanya yake mapema tu
Hapo ni Simba ikicheza. Ila kama ni Yanga kelele zinafika TFF, FIFA, CCM. Wanashtaki kote.Nyie si mpaka muone mtu avunjwe mguu ndio mseme faulo
Anaigharimu timu kwa ujinga wakeyuko kwenye timu haina pressure mkuu,
Mdoe kawamaliza Dodoma Jiji
achana na jamaa walio toka promo nyingiii ila hakuna kituUkiwaangalia Yanga wanavyocheza, ina make sense ukiambiwa ni mabingwa wa nchi
Mi naenda kulala wakifunga goli unishtueUkiwaangalia Yanga wanavyocheza, ina make sense ukiambiwa ni mabingwa wa nchi
Hakuna magoli mengi msimu huu ni Moja mbili mwisho tatuYanga atarekebisha makosa ya mechi iliyopita ,walikosa magoli mengi,nawaonea huruma kmc ,Leo anakula goli 6
Nyie ndo wanga WANAFIKI WAFUASI WA PDDMimi ni Yanga ila nina uhakika hii game tumepitisha bahasha
Sio kama wale walevi waliotoka kurukaruka mda si mrefuUkiwaangalia Yanga wanavyocheza, ina make sense ukiambiwa ni mabingwa wa nchi