Nenda kwenye jukwaa la michezo kafukuefukue utakutana na nyuzi lukuki za Wanalunyasi wakiuliza Boka tumemtoa wapiMechi gani hiyo iliyoonesha vitu binafsi vya Boka?
refa kafosiwa kutoa penati baada ya mtu kukabwa kooJumapili imekuwa yakufosiwa sio yakufosi tena
Mechi imeisha ile, shinikizo la damu litakupanda bure!refa kafosiwa kutoa penati baada ya mtu kukabwa koo
nafahamu mkuu, kaimaliza refaMechi imeisha ile, shinikizo la damu litakupanda bure!
Hawakumpa miwani!!? Usiku huu mzee anaonajeTripo sii kapaza
Basi tugange yajayo. Kuna mechi inaendeleanafahamu mkuu, kaimaliza refa
Naona Chama ndo tegemeo lenu.
Tulia BibiKipindi cha pili kinaenda kuanza ili tunashuhudia maigizo sasa
Nb
Mimi ni Yanga kipindi cha pili tunaenda kushinda goal nyingi bahasha zetu hakuna team itatuzuia mwanayanga kua naamani hii game tumeinunua
Brother Mshana kwema?Yanga anaweza ku draw hii game
Nadhani umeanza kuona maigizo hapaTulia Bibi