Abeid L Msanganzila
Senior Member
- Dec 30, 2018
- 163
- 343
Mbona kumepoa humu ndani?? Au mnanikomesha mm kwa kutotoa updates?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga inakosa kosa sana.....🤦
Hilo hilo😅😅😅 hakuna 5 skuizi hamna cha uchovu wala nnDk ya ngapi,pressure inapnda na kushuka,bado ni lile lile moja
Tulia faraja, hamna timu ya kuiliza yanga kwa sasa.....Tarehe 19.
Mtakamia sana, na bado mtalia
Tutapaka mkongo,tupige goli nyingiHilo hilo😅😅😅 hakuna 5 skuizi hamna cha uchovu wala nn
Saizi ni goli 1 basi tena kipindi cha kwanza
Hivi vitimu vimeamua kukamia
sasa ndo nini kupaki basi hapo nyuma watu wote 10
Yani Beleke sijui ana matatizo gani jamaniToa Dube weka Baleke
Mzize kwani vipi leo?Toa Dube weka Baleke
Kwa mwendo huu sizioni! Defense iko poa ila hao wakina dube wakina Chama 👐 warudishe tu ile first eleven yetu ya mwaka janaTutapaka mkongo,tupige goli nyingi
NMecheka sana aiseeToa gamond lete Mokwena
74'Dk ya ngapi?