Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na Data ngezima 🤣Mleta uzi kachochora kashaona kauli mbiu haiendani ni kile anachokiona
Hata mimi ningekuwa wewe ningefanya the same
alafu kipindi kile cha usajili timu nyingi za nje zilimtaka akiwa wa moto balaa sasa kwa mwendo wake huu wa sasa hadi mwisho wa msimu si ataonekana hana tena maajabu atadoda shauri yake ndo kama yale Maringo ya mrisho ngasa kipindi kile!Huyo kwisha habarI yake , mwakani mwakani hata majimaji fc hapati namba
Mko hovyo sanaTulia faraja, hamna timu ya kuiliza yanga kwa sasa.....
Vibabu fc . Meneja wa timu kasahau kuwapa mikongojo . Na hapo ndipo tatizo linapoanzia.Sio Musonda peke yake..!
Kuna Wazee Wa MEMKWA Wengi sana wa kufukuza hapo..!
utaua watuGoal 1-1
Umemuona Aziz ki.. Anapiga magoli uko ndo aje uwanjani kutafta magoli mengineHii timu yangu huu mwaka hakuna kitu. Yaani hadi wapewe ahadi. Na hiyo imewaharibu akili zao wanawaza tu bonus za kila mechi. Shenzi. Mtu kama hawajibiki fyeka mshahara wake tu atapambana mwenyewe bila ahadi.