Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na uzuri Feisal ni mzawa, anastahili mshahara mkubwa sana, tuvipe thamani vya kwetu.Haya
Hicho ni kikosi cha Pili Kolo Wahed wewe, subiri kesho Azzam mpambane na hali yenu, sisi tumeshatia kibindoni point 3 na tunaongoza ligi.Tumeshinda yes ila timu quality imeshuka, nabi uwezo umeisha
Kesho nayo siku bwa sheeKuna watu wanatamani kuongea ila wakikumbuka wao walidroo wanakaa kimya.
.ĶMC gari letu limeshawaka. Ni mwendo wa kukusanya point tatu kwa kila mbwa aliyeko mbele yetu. Gemu zote ngumu tumeshamaliza zilizobaki zote laini tu kwetu
Yamekuwa hayo tena? Unaendaje kimataifa bila kushinda ligi ya nyumbani? hizi ni chuki za kifala sana.Mwisho wenu ni Hapa Hapa, Yaani Wa Hapa Hapa....!
Hata Ukioga mjini Huendi ..!!!
Mimi nimewazungumiza jamaa fulani ambao walichomoa dk 90. Baada ya hapo wakaanza kumtukana kocha wao msaidizi.
Kimoja hakizai mapacha kweli Dada yangu?Yanga tutaenda nao sambamba msimu huuu tutawashinda kwa magoli yani hivi vimoja moja vyao hivi hiiiiiii
Usisahau kesho kazi mnayoKmc walivyokua wanapeana pass mpk raha.
Ila mmeona mayele asipokuwepo timu ina jiachia yoyote anaweza kufunga..yule virasta anawavimbia wenzie..leo Aziz ufunguo kafunguka anacheza unaona kabisa... makambo unamuona sema ndo hivyo hana bahati.
Vipacha vinatoka vidhaifu hahaaaaKimoja hakizai mapacha kweli Dada yangu?
Kweli nyie ni majuha,kwa hiyo Mayele ndiyo first eleven,asipokuwepo tu waliobakia wote ni kikosi cha pili.Hicho ni kikosi cha Pili Kolo Waved wewe, subiri kesho Azzam mpambane na hali yenu, sisi tumeshatia kibindoni point 3 na tunaongoza ligi.
Nani apingile?