Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Mayele ndio king kwa Sasa hilo hakuna mjadala, zile header za Makambo kwa Mayele ni magoli tu mpira kati.Mayelle umuhimu wake nauona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayele ndio king kwa Sasa hilo hakuna mjadala, zile header za Makambo kwa Mayele ni magoli tu mpira kati.Mayelle umuhimu wake nauona
Hata Manura na Inonga ni watoto wa nyumbaniYaani mlitegemea kabisa mateo antony na edrew Vincent waizue yanga isishinde wakati wale ni watoto wa nyumbani
Pira La Yanga.. Papatu Papatu ...Sio Rahisi Kukatiza Makundi Champion LIGI Ya CAF.
Labda kujaribu kwa Losers Shirikisho.
Wanatamani kusema KMC wabovu, ila wakikumbuka wananyamaza😂Hii game imewauma sana makolo wakifikiria wao kibarua chao na azam ndio kabisa mavi yanagonga chupi.
Hata nyie tulitaka kuwatoboa, mlichoropoka tu.Dah wametoboa [emoji41][emoji41]
[emoji23][emoji23][emoji23]Wanatamani kusema KMC wabovu, ila wakikumbuka wananyamaza[emoji23]
Ukiangalia mpira wa yanga huku unataraji wapoteze ni hatari..utaharibu mji wa mimbaIla wale kmc mbona kama vile walikua wanaangalia kbs mpira unaingia na wako wawili sijui watatu...
Unge mulaumu kwanza Manura kabla ya KMCIla wale kmc mbona kama vile walikua wanaangalia kbs mpira unaingia na wako wawili sijui watatu...
Bwana sio Manura ni Manula tena air Manula usisahauUnge mulaumu kwanza Manura kabla ya KMC
Uzuri nshamaliza kuzaa watoto 7 wanatosha hata mji ukiharibika naufunga kabisa na kufuli.Ukiangalia mpira wa yanga huku unataraji wapoteze ni hatari..utaharibu mji wa mimba
Bwana sio Manura ni Manula tena air Manula usisahau