Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matokeo yake akajamba.Umeona lakini the way alivyojaribu Matola
Ulikua nyuma ya kalio? Maana nyie nao wana uto hamuelewekiMatokeo yake
Huu msemo wa akina dada Salon unakomaa nao njemba na midevu yakoHata Mkioga kwa hili Papatu Papatu 'Mjini hamuendi' (Makundi CL CAF)....!
Ndio huyo huyoBwana sio Manura ni Manula tena air Manula usisahau
Hizo ni shida zako baki nazoSijui ni mwana Yanga gani aliyeangalia hii game na akawa ameridhishwa na kiwango alichokionesha Azizi Ki leo?
Chuchu zitavimba,zitaumaUzuri nshamaliza kuzaa watoto 7 wanatosha hata mji ukiharibika naufunga kabisa na kufuli.
Ukiwa na chuki na mtu utaona mapungufu/madhaifu yake tu,..mkuu utateseka sana na Aziz Ki na bado! Assist ya goli katoa nani? Mafree kick kama yote je..? Yule fundi mzee narudia hakuna mchezo Bongo kama Aziz ki.Sijui ni mwana Yanga gani aliyeangalia hii game na akawa ameridhishwa na kiwango alichokionesha Azizi Ki leo?
Mi binafsi huwa nawazaga hivi mtu aliyewasajili Morrison, Kumrudisha Tuisila, Yule Mrundi na kumbakisha Makambo kisha kumtoa Yacoub sijui aliwaza nini?Ni muda muafaka wa Yanga kumpa DOGO FEI makataba wenye kuonesha thamani yake halisi.
Mkataba utakao onesha ni kiasi gani yeye ni mtu muhimu sana klabuni pale.
Tena huyu wa kwetu tumepika wenyewe
Sio tunaiimport wahuni wa huko afrika magharibi na Hawa deliver vya kutosha
Niache basi....nitazikamua ili niendelee kushabikiaChuchu zitavimba,zitauma
[emoji1787][emoji1787] vituko haviishiByebye kocha NABI....tunakushukuru kwa mchango wako..leo unbeaten record inavunjwa rasmi