FT: Yanga SC 1-1 Simba SC | Ligi Kuu NBC '22/'23 | Benjamin Mkapa Stadium

Mpira utaisha kwa droo ya 1:1 lakini mmoja wao atasawazisha dakika za majeruhi
 
Pamoja ya kuwa umetumia font mbovu, kila la heri kwa Mnyama leo🦁🦁🦁
 
Simba hii gemu anafungwa tukiwakosa na hawa basi hakuna Timu tutaifunga mwaka huu...ngoja wafunguke kama walivyocheza na wale wabovu tuwaue..
 
Mhhhh kisa cha kutolala?.yani saa sita uzi tayari yani leo kipigo kwa gongowazi hakiepukiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…